Mbona Azam UTV hawaoneshi mpira leo?

Mbona Azam UTV hawaoneshi mpira leo?

Watu wameshakufa wao wanazima TV, lau mngewajali mngewapandisha ndege. Bepari ni bepari tu. Azam kampuni yote ile mnawabeba staff kwenye coaster....anyway...R.I.P wafiwa.
 
Kwani ni msiba wa tz nzima? Si msiba wao? Sisi misibabyetu huwa wanalia? Si hawatutambui kabisa? Sikatai, ajali inasikitisha lkn huo sio msiba wa tz nzima,namaanisha sio kila mtu ni mfuwa hapa.
Mmh ok ok sawa nimekuelewa... Lakini kwa kupoteza team kubwa kama ile sidhani kama hao walioko kazini wanaweza kuendelea na kazi
 
Kwahiyo tatizo ni kuonesha live match au kuonesha vitu visivyoendana na maombolezo? Wanaweza kuonesha ngono ili mradi ni CD?
Mchaga unapenda ngono wewe duuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
 
Kupitia uzi huu nimegundua wanaopondaga Azam Tv wakizuga wanamiliki Dstv kumbe wengi wetu tunadowea Afcon ya bure kutoka Utv yaani Kitonga.

Wabongo mnabidi mfahamu hili, Televisheni za Taifa kama Rwanda Tv, Uganda Tv na KBC huwa wanarusha michuano hii bure lakini kwa masharti matangazo hayo yasiwe nje ya nchi zao. Ndio maana Azam Tv anazipiga pin wakati wa mechi zisionekane huku Tanzania. Kama ambavyo Utv hii ya Azam Tv ambayo tunaangalia Afcon hapa Tanzania haipatikani kwa nje ya Tanzania mpaka hapo michuano itakapoisha.

Poleni Azam Tv kwa msiba ila next time inabidi muwe na plan B kwani kwa kitendo cha leo kimewapunguzia credibility kubwa sana.
Kupitia Rwanda Tv unaona AFCON kwenye king'amuzi cha dstv hapa hapa Tanzania
 
UTv ni bure kama TBC
Hii kitu imenishangaza kidogo ile ni Pay Tv suala lolote ambalo sio technical halipaswi kumkosesha huduma mteja.Wanamiliki channeli zaidi ya moja wangeweza kuchagua moja na kuomboleza ndugu zetu.
 
Chonde chonde Azam media, msiba umeshatokea! Na poleni sana kwa kuwapoteza wapendwa wenu. Kule kwenye mashindano ya cecafa ya yule popoma musonye hamkukata matangazo; ni vyema mkaturudisha Afcon ili maisha yaendelee. Tafadhali.
 
Mbona Congo tv wanaonyesha Tena mechi zote, Mimi naangalia Congo tv Bila matatizo
 
AZAM TV semeni neno watu wapone. Robo fainali zinaanza leo. Poleni na msiba maisha yanatakiwa kuendelea.
Na kama kuna tatizo jingine msitumie msiba kama kisingizio.
Mbona channels nyingine mmeziacha?
 
AZAM TV semeni neno watu wapone. Robo fainali zinaanza leo. Poleni na msiba maisha yanatakiwa kuendelea.
Na kama kuna tatizo jingine msitumie msiba kama kisingizio.
Mbona channels nyingine mmeziacha?
Aisee
 
Matangazo yao yalikuwa yanaeleza kwamba wataonyesha mechi zote. Leo hawaonyeshi Mali na Ivory Coast, tatizo nini?
Cha kushangaza wamezifunga KBC/UBC ambazo zinaonyesha.
Ina maana haujui kilichotokea kwa wanahabari wao 5.Wanaheshimu uhai wa mtu hata akifariki akiwa nao bado wanaendelea kutoa heshima zote kwao.Hongera Tido hongera Azam kwa kutambua hilo na poleni sana.Mlipofiwa wao waliendelea bila kujali na ni kazi yao vijana walikuwa wanakwenda kufanya.Ndivyo walivyo wala hatuwezi kuwazoe, tutawaambia tu ili wajue kuwa,Mwenzako akinyolewa,endelea kulowanisha za kwako.
 
Back
Top Bottom