Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
embu tuache tuomboleze msiba wa wafanyakazi wenzetu.Matangazo yao yalikuwa yanaeleza kwamba wataonyesha mechi zote. Leo hawaonyeshi Mali na Ivory Coast, tatizo nini?
Cha kushangaza wamezifunga KBC/UBC ambazo zinaonyesha.
Game ishaanza weweGame saa 19:30 nimeangalia ratiba yao
Kweli mkuu binafsi imeniuma sana, washkaji bado wadogo kabisa alafu ofisi moja wamekufa.Ila ukijaribu kuvaa viatu vya wafiwa aisee!!!acha tu wasionyeshe.