Azam,poleni sana kwa msiba. Ajali iliyotokea Igunga. Lakini mtaniwia radhi,pamoja na kusikitika sana na msiba huu,mlitakiwa Utv Mount she mpira, channel zingine ndio mngelia msiba. Huo siosiba wabtaifa, tumelipia king'amuzi tulikuwa na haja ya kuona mpira Utv.
Kutoonyesha mpirabhaimaanishi mmelia sanaaa msiba, sisi wenzenu tumefiwa sana lakini misiba huwa sio ya taifa. Wengine hapa tunapoandika ni yatima.
Jueni sio wote wanaolia,wengine walitaka kuona Afcon kwasababu tumelipia 28,,000 kwenye hulo luking'amuzi lwenu lwa kijinga. Sifuri kabisa.