Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Mkwe hivi una habari naweza kukulaani na laana ikakushika kabisa!!!

Kwani baba wa mwanangu humfahamu mpaka usijue wa kumtumia muamala?!!
Mkwe kila siku una kisingizio kipya tu, hivi huyu Heaven Sent unamtaka kweli!!!!
mama hiyo inaitwa "Akufukuzaye..."
 
Back
Top Bottom