Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Mshamba hachekwi
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Asilimia kubwa uliokutana nao hapo ni wanafunzi wa vyuo vikuu.
 
Toka hapo Mlimani city nenda huko Tandika,Tandale uwanja wa fisi,Mbagala ndani ndani huko,

Kisha njoo uedit uzi wako.
huko ndani ndani pia balaa bwana. mm nimeokota moja vikindu wakati natoka kijijini arumeru naingia daslama..mtoto alikua kama kachongwa kiuno hapo ndio ana maisha magumu mtoto muzuri balaa. nilikua naila huku nasikitika kichwa kwa utamu
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Wallah tutabanana hapahapa.
 
Back
Top Bottom