Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba hachekwiDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Asilimia kubwa uliokutana nao hapo ni wanafunzi wa vyuo vikuu.Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Ila dar kuna totoz nyie acheni kabisa....vijana huko wasipoje ga siwalaumu kabisaKwa hio sababu yako kubwa ya kutohama Dar ni wanawake wazuri.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umeshasema ww ni mshamba! "Dar sio shambani"
Tembea kidogo. Njoo ArushaIla dar kuna totoz nyie acheni kabisa....vijana huko wasipoje ga siwalaumu kabisa
Ah huko nilishakaaga njino kaa zimepakwa mavi nani anatakaTembea kidogo. Njoo Arusha
Sogea basi BabatiAh huko nilishakaaga njino kaa zimepakwa mavi nani anataka
huko ndani ndani pia balaa bwana. mm nimeokota moja vikindu wakati natoka kijijini arumeru naingia daslama..mtoto alikua kama kachongwa kiuno hapo ndio ana maisha magumu mtoto muzuri balaa. nilikua naila huku nasikitika kichwa kwa utamuToka hapo Mlimani city nenda huko Tandika,Tandale uwanja wa fisi,Mbagala ndani ndani huko,
Kisha njoo uedit uzi wako.
🤣 nakureport umekandia dada zanguAh huko nilishakaaga njino kaa zimepakwa mavi nani anataka
Wanaotokea mikoani kazi wanayo, hawajazoea.Ila dar kuna totoz nyie acheni kabisa....vijana huko wasipoje ga siwalaumu kabisa
Wallah tutabanana hapahapa.Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Ila ni wazuri.Ah huko nilishakaaga njino kaa zimepakwa mavi nani anataka
Kua muangalifu sana,hiyo ni Dar,usije tu ukarudishwa kijijini kwenu ndani ya tenga la kubebea Kuku.Daaah leo siku itaishia hapa hapa
Ndio maana nauliza mnawezaje wakuu?Utahama mwenyewe kwa kufilisika.