Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
DaahHaswaa na mie m1 wapoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaahHaswaa na mie m1 wapoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nn?Daah
Kwa kweli umeumbika ... mtanifilisi nyie warembo wa DarHaswaa na mie m1 wapoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
dar ni tofaut na mikoan, hata huko ndan ndan unakokusema nako kuna pisi kali tofauti na mikoan, sasa ww nenda arusha afu uingie huko ndan ndan uone vituko utavyokutana navyoToka hapo Mlimani city nenda huko Tandika,Tandale uwanja wa fisi,Mbagala ndani ndani huko,
Kisha njoo uedit uzi wako.
Dar ni kweli ni warembo sana yaani yaani yaani yaani yaanidar ni tofaut na mikoan, hata huko ndan ndan unakokusema nako kuna pisi kali tofauti na mikoan, sasa ww nenda arusha afu uingie huko ndan ndan uone vituko utavyokutana navyo
Kuna jamaa anasema wewe ni mrembo ambaye unamfilisi sana mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nn?
Umeniwahi. Nilitaka nije nimwambie hivi huyu MMANG'ATIToka hapo Mlimani city nenda huko Tandika,Tandale uwanja wa fisi,Mbagala ndani ndani huko,
Kisha njoo uedit uzi wako.
tena ww ndo utakosa mpaka nauli ya kurudi kwenu mana ulianza kuhonga flash sasa hv utakua ushahonga mpaka simu 😂😂Dar ni kweli ni warembo sana yaani yaani yaani yaani yaani
Naona kabisa naenda kufilisiwa hii biashara yangu
😂😂😂😂😂ilaDaaah leo siku itaishia hapa hapa
Reject ya Dar kwenu Kusini ni Brand New,utazoea tuDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
nilijua tu ni akili za Poor Brain dronedrakeHapo mlimani city pazuri sana unaangalia warembo wee ili baadae ukawapigie nyeto vizuri kabisa
Mkuu flash alinipa 5k japooo dahtena ww ndo utakosa mpaka nauli ya kurudi kwenu mana ulianza kuhonga flash sasa hv utakua ushahonga mpaka simu 😂😂
Ahahahah unashangaa wadada wa dasalam sioView attachment 3030488wakuu bado nipo kituoni hapa