Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
- Thread starter
- #81
mkuu na mimi Dar sihamiAhahahah unashangaa wadada wa dasalam sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu na mimi Dar sihamiAhahahah unashangaa wadada wa dasalam sio
Wewe na mimi ==mkuu na mimi Dar sihami
Wanawake wazuri wengi hua wanapenda kuishi mijinihata mimi huwa najiuliza,inakuaje huu mji kila mdada ni pisi kali
hadi huku uswazi hali ni hiyo hiyo
Ukienda sinza kila mdada ana tackle kubwa Na shepu nangaihata mimi huwa najiuliza,inakuaje huu mji kila mdada ni pisi kali
hadi huku uswazi hali ni hiyo hiyo
Hata wewe nahisi una tako kama madada wa sinzaUkienda sinza kila mdada ana tackle kubwa Na shepu nangai
Yaani ni hatari mi paka wifi yenu nishamuonya aisee akinipoteza sio kosa languUkienda sinza kila mdada ana tackle kubwa Na shepu nangai
basi hii ndio sababuWanawake wazuri wengi hua wanapenda kuishi mijini
Hapo bado hujasimama nyuma ya msambwanda au kusuguliwa na K kwenye bega ukiwa umekaa siti ya pembeni kwenye daladala iliyojaa lazima mnara usome 5GDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Magaidi hao sasa wewe jichanganye..Utarudi Newala kwenu ukiwa mwehuDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Hao wote ni wa bandia sema ushamba ukikuDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Uliowaona siyo og,mila kitu hapo no mchina.Hata mbususu sao siyo og.Mwarabu anawafantusha potapotWazuri bado hawajazaliwa utawazaa wewe, (the beautiful ones are not yet born)
Dah watu wa Mbagala tumekukosea nini😁Toka hapo Mlimani city nenda huko Tandika,Tandale uwanja wa fisi,Mbagala ndani ndani huko,
Kisha njoo uedit uzi wako.
Huko dar sijawah kupaelewanilijua tu ni akili za Poor Brain dronedrake
Sawa mkuuu n namba ninazo maelfuHahahah nakuPM weekend ukanitembeze
Sasa wagogo wana uzuri gani, wabaya kama wamang"atiHio Dar tuu, ungefika Dodoma ungesemaje c ndo ungefia stend
😂😂😂😂😂😂😂😂Nna pasii moja nzuriHata wewe nahisi una tako kama madada wa sinza