Mbona Diamond amekonda na kupoteza nuru kwa haraka hivi?

Mbona Diamond amekonda na kupoteza nuru kwa haraka hivi?

Tushukuru mwenyeziMungu kwa neema yake.kila mja Ni shahidi wa nafsi yake mwenyewe.tusihumu tusije tukahukumiwa.
Kila mtu aubebe msalaba wake mwenyewe.
tapatalk_1559890202928.jpeg
 
Stress mbaya sana hasa ukizingatia kadhulumiwa watoto hadi nyumba aiseee inauma hio
wacha weee
kwani jamaa amekonda au amepunguza uzito?
matajiri hawakondi bwanaa bali wanapunguza uzito ila walalahoi kama sisi ndio wanaokonda kwa njaa na msongo wa mawazo.
akili za daemusin hazifai hata kuongozea mbuzi.​
 
Nimeangalia interview za hivi karibuni za simba sio siri jamaa kafubaa sana na afya Inaonekana kuzorota kwa kasi saana. Amepungua sana mwili.

Diamond hadi anataka kufanana na ferooz siku hizi!? Kabaki kichwa tu wakati ndio yuko kwenye peak yake ya kimuziki? Kuna kitu hakiko sawa. Washauri wake wamwambie akafanye medical check up kuna kitu hakiko sawa. Diamond anaramba lips zake lakini bado zinabaki na mpauko? Macho yamedumbukia ndani kama karunguyeye anachungulia toka kwenye kichuguu?

Mungu amsaidie simba asiwe na tatizo lolote. Coz Tuna simba wawili tu bongo Simba sports na Simba Chibu. Na hatujajiandaa kumpoteza yeyote kati yao this soon.

Povu ruksa!

View attachment 1120274View attachment 1120275
Hapo ametoka kufanya shoo hana make up wala nini na pia uchovu umetamalaki hapo,,,,afu kaa ukijua mastaa wengi wakitoa zile make up ni wa hovyo angalia sana baada ya kufanya shoo
 
ina maana hizi makeup zinaweza kumfanya mamba awe na kichwa kama cha nyoka?
+ editing
Jamaa wengi tunavyowaona kwenye video au picha zao wakipost sivyo walivyo, wengi tunawaona warefu kumbe wafupi mno, weupe kumbe weusi mno. Sasa huyo picha ya Jamaa iliyoweka humu huo ndio muonekano wake halisi ata ukikutananae mtaani
 
Aiseeee
+ editing
Jamaa wengi tunavyowaona kwenye video au picha zao wakipost sivyo walivyo, wengi tunawaona warefu kumbe wafupi mno, weupe kumbe weusi mno. Sasa huyo picha ya Jamaa iliyoweka humu huo ndio muonekano wake halisi ata ukikutananae mtaani
 
Basi me sijui ndo ushamba.. Me Diamond Miaka yote namuona hvo hvo... Hajawah nenepa soo [emoji1745][emoji1745]
 
Ana uraibu wa ile nyapu ilimkimbiaga.
 
Imeeditiwa hii picha siyo yake
(In Gwaji-boy voice )
 
pesa ina mambo mengi na siri nyingi,tunakaribia uchaguzi mkuu 2020 wafuatilie hata wanasiasa watakapokuwa kwenye kampeini halafu utaleta mrejesho.Hayo mapete yake sio urembo ule.Naomba kuishia hapa.
 
Amekondeana kama kakosa lishe macho yame mtoka maskini kama ana kwashakoo duu kweli stress ni ugonjwa mbaya kuliko ukimwi ma meneja zake vibonge hawana stress pesa za bwerere ye akate miuno meneja apate mshahara.
 
Back
Top Bottom