Hii ilikuwa ni one of the major public interest criminal case, of public importance. Umma ulitegemea Jamhuri ikate rufaa. Sasa kimya as if Sabaya hakutenda hayo matendo maobu. Umma unajua kuwa ALITENDA matendo ya kinyama against human beings, inakuwaje serikali isikate rufaa?
Mwenendo wa kesi hata kwa kijana wa IJA wa certificate ya law hapo Lushoto angeliweza ku sustain / upheld conviction ya magistrate's court.
If that is to be the case, Jamhuri inalea uhalifu.
Bando la laki a weekUmepokea kijiti!
Una Bando lakini?
That is likely soHayo yalikuwa maigizo ya kumfunga Mbowe bahati mbaya viongozi wa dini wakasanda
Hahaha....... hongera bwasheeBando la laki a week
Mahakamani huko be it CA, HC Magistrates' court Kuna ndugu zetu wa kutunyetishaUnajuaje hajakata rufaa?
Hatari snThat is likely so
Umma wa wapi ulitegemea Serikali ikate rufaa? Halafu kesi ya Sabaya wala haikuwa na interest yoyote kwa umma sema ninyi ndo mliitangaza mno kana kwamba ni kesi ya maana sana kumbe ilitengenezwa na Mbowe na genge lake la wahuni. Mahakama ilishatenda haki kama unaona hujaridhika kakate rufaa weweHii ilikuwa ni one of the major public interest criminal case, of public importance. Umma ulitegemea Jamhuri ikate rufaa. Sasa kimya as if Sabaya hakutenda hayo matendo maobu. Umma unajua kuwa ALITENDA matendo ya kinyama against human beings, inakuwaje serikali isikate rufaa?
Mwenendo wa kesi hata kwa kijana wa IJA wa certificate ya law hapo Lushoto angeliweza ku sustain / upheld conviction ya magistrate's court.
If that is to be the case, Jamhuri inalea uhalifu.
Ignore!Umma wa wapi ulitegemea Serikali ikate rufaa? Halafu kesi ya Sabaya wala haikuwa na interest yoyote kwa umma sema ninyi ndo mliitangaza mno kana kwamba ni kesi ya maana sana kumbe ilitengenezwa na Mbowe na genge lake la wahuni. Mahakama ilishatenda haki kama unaona hujaridhika kakate rufaa wewe
Ugumu uko wapi, laki a week? Laki 4 a month, ? Mbonà Ni very affordableHahaha....... hongera bwashee
Hata kuahirishwa kwa hukumu ya leo inatia shaka.Hii ilikuwa ni one of the major public interest criminal case, of public importance. Umma ulitegemea Jamhuri ikate rufaa.
Sasa kimya as if Sabaya hakutenda hayo matendo maobu. Umma unajua kuwa ALITENDA matendo ya kinyama against human beings, inakuwaje serikali isikate rufaa?
Mwenendo wa kesi hata kwa kijana wa IJA wa certificate ya law hapo Lushoto angeliweza ku sustain / upheld conviction ya magistrate's court.
If that is to be the case, Jamhuri inalea uhalifu.
Msifike huku wakubwaWewe unambong'olea kirahisi