Hii ilikuwa ni one of the major public interest criminal case, of public importance. Umma ulitegemea Jamhuri ikate rufaa.
Sasa kimya as if Sabaya hakutenda hayo matendo maobu. Umma unajua kuwa ALITENDA matendo ya kinyama against human beings, inakuwaje serikali isikate rufaa?
Mwenendo wa kesi hata kwa kijana wa IJA wa certificate ya law hapo Lushoto angeliweza ku sustain / upheld conviction ya magistrate's court.
If that is to be the case, Jamhuri inalea uhalifu.
Sasa kimya as if Sabaya hakutenda hayo matendo maobu. Umma unajua kuwa ALITENDA matendo ya kinyama against human beings, inakuwaje serikali isikate rufaa?
Mwenendo wa kesi hata kwa kijana wa IJA wa certificate ya law hapo Lushoto angeliweza ku sustain / upheld conviction ya magistrate's court.
If that is to be the case, Jamhuri inalea uhalifu.