Mbona hizi dini zinachanganya?

🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Mwisho wa yote ni kifo mkuu.
Ujizuie, usijizuie, mwisho wa yote ni kifo.
 
Mungu aliumba ulimwengu mzuri tu ila walimwengu ndio wanauharibu
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao walimwengu hawangeweza kuuharibu?

Aliweza kuuumba hivyo, lakini hakutaka tu? Kama aliweza, je, kweli ana upendo wote?

Au, hakuweza kuumba ulimwengu hivyo, ila alitaka? Kama ni hivyo, je, ana uwezo wote?

Na kama aliweza na alitaka, kwa nini tunaona ulimwengu ambao walimwengu wanaweza kuuharibu?
 
Inasikitisha Mungu anakuwa na upendeleo 🀣🀣 Mungu anakuwa na sifa na tabia za kibinadamu kabisa 🀣
 
Inasikitisha Mungu anakuwa na upendeleo 🀣🀣 Mungu anakuwa na sifa na tabia za kibinadamu kabisa 🀣
Eti Mungu ana taifa teule analisaidia lile taifa teule lake liwachape mataifa mengine kwenye vita.

Mpaka hapo hujajua tu kuwa huyo Mungu katungwa na hao watu wa hilo taifa teule tu? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Asilimia chache sana ameacha katika kufanya ulimwengu uwe perfect , nazani tumsifie Kwa kile kidogo alichofanya , Mungu fundi sana , tuna enjoy Kwa kidogo icho icho alichotuumbia ,
 
Eti Mungu ana taifa teule analisaidia lile taifa teule lake liwachape mataifa mengine kwenye vita.

Mpaka hapo hujajua tu kuwa huyo Mungu katungwa na hao watu wa hilo taifa teule tu? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kiranga leo j5 ya majivu umeenda kanisani lakini
 
Mungu ameumba binadam mwenye uwezo wa kum judge , ndio uone ni jinsi Gani yeye alivyo mwamba
 
PAPA Francis anapigania maisha huko ICU yaani hataki kwenda mbinguni [emoji1787]

Izi DINI sometime zinachanganya sana sasa papa hataki kwenda mbinguni nani anataka? kama papa hataki?...

Kwaresma NJEMA.
Mwandiko wako wako tu unaonyesha wewe ni wa mudi. Kwaresma huijuwi. Acha kejeli kwenye uhai wa mtu. Kufa wewe kwanza kama ni sifa.
 
Asilimia chache sana ameacha katika kufanya ulimwengu uwe perfect , nazani tumsifie Kwa kile kidogo alichofanya , Mungu fundi sana , tuna enjoy Kwa kidogo icho icho alichotuumbia ,
Hujajibu swali langu, umejitungia lako mwenyewe ukajibu unalotaka.
 
Nampongeza Papa kwa kukosa jibu, hapa angesema freewill ingekua mtifuano
 
PAPA Francis anapigania maisha huko ICU yaani hataki kwenda mbinguni [emoji1787]

Izi DINI sometime zinachanganya sana sasa papa hataki kwenda mbinguni nani anataka? kama papa hataki?...

Kwaresma NJEMA.

Aliyekwambia ukifa saivi unaenda mbinguni ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…