Ytoday
Senior Member
- Sep 24, 2022
- 199
- 216
ukifa hurudi tena ko mtu anataka ainjoy vya mwisho mwishoThey say that heaven is a beautiful place but no one wants to die.
Everyone is praying for long life on Earth..😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukifa hurudi tena ko mtu anataka ainjoy vya mwisho mwishoThey say that heaven is a beautiful place but no one wants to die.
Everyone is praying for long life on Earth..😄
Sana!Kwa hiyo miungu iko mingi sana duniani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mungu hayupo mkuu.
Angekuwapo watu wasingeijua internet ya bando ikoje.
Kila mtu angekuwa anagonga unlimited ya kampuni ya simu na unlimited ya WiFi kama mimi tu.
Kama yupo, kwa nini anipendelee mimi nisiyemuamini halafu wanaomuamini wengine wawe wananuka umasikini hata bando wapate kwa manati na wengine wana viswaswadu vinepasukapasuka vioo ni hatari kwa afya zao lakini wanadunda navyo tu?
Duh!Sana!
Ukweli mchungu huu mkuu wafia dini hawataki kuusikia!Ukifa ndo shughuli yako imeishia hapo, hakuna kingine zaidi ya kuwa chakula cha wadudu huko shimoni.
Mwisho wa yote ni kifo mkuu.Tuendelee kutamba na hizi pumzi tulizochukua mkopo tena mkopo wenyewe kausha damu ile ya mtu hulali kama hujarejesha rejesho.
Ukiwa mzima huumwi hata ukucha mkononi umeshikilia device yako charge 70% bundle la kutosha mfukoni una cent mbili tatu za kubadili mboga huku kichwani ukihisi una akili za kutosha aah mbona wewe mwanaume!,ikiwa sijui second tano mbele nini kitanitokea nina nidhamu mno na kinywa na vidole vyangu hasa wakati huu teknolojia illvyoenea.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao walimwengu hawangeweza kuuharibu?Mungu aliumba ulimwengu mzuri tu ila walimwengu ndio wanauharibu
Inasikitisha Mungu anakuwa na upendeleo 🤣🤣 Mungu anakuwa na sifa na tabia za kibinadamu kabisa 🤣Mungu hayupo mkuu.
Angekuwapo watu wasingeijua internet ya bando ikoje.
Kila mtu angekuwa anagonga unlimited ya kampuni ya simu na unlimited ya WiFi kama mimi tu.
Kama yupo, kwa nini anipendelee mimi nisiyemuamini halafu wanaomuamini wengine wawe wananuka umasikini hata bando wapate kwa manati na wengine wana viswaswadu vimepasukapasuka vioo ni hatari kwa afya zao lakini wanadunda navyo tu?
Eti Mungu ana taifa teule analisaidia lile taifa teule lake liwachape mataifa mengine kwenye vita.Inasikitisha Mungu anakuwa na upendeleo 🤣🤣 Mungu anakuwa na sifa na tabia za kibinadamu kabisa 🤣
Asilimia chache sana ameacha katika kufanya ulimwengu uwe perfect , nazani tumsifie Kwa kile kidogo alichofanya , Mungu fundi sana , tuna enjoy Kwa kidogo icho icho alichotuumbia ,Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao walimwengu hawangeweza kuuharibu?
Aliweza kuuumba hivyo, lakini hakutaka tu? Kama aliweza, je, kweli ana upendo wote?
Au, hakuweza kuumba ulimwengu hivyo, ila alitaka? Kama ni hivyo, je, ana uwezo wote?
Na kama aliweza na alitaka, kwa nini tunaona ulimwengu ambao walimwengu wanaweza kuuharibu?
Kiranga leo j5 ya majivu umeenda kanisani lakiniEti Mungu ana taifa teule analisaidia lile taifa teule lake liwachape mataifa mengine kwenye vita.
Mpaka hapo hujajua tu kuwa huyo Mungu katungwa na hao watu wa hilo taifa teule tu? 😂😂😂
Mwandiko wako wako tu unaonyesha wewe ni wa mudi. Kwaresma huijuwi. Acha kejeli kwenye uhai wa mtu. Kufa wewe kwanza kama ni sifa.PAPA Francis anapigania maisha huko ICU yaani hataki kwenda mbinguni [emoji1787]
Izi DINI sometime zinachanganya sana sasa papa hataki kwenda mbinguni nani anataka? kama papa hataki?...
Kwaresma NJEMA.
Hujajibu swali langu, umejitungia lako mwenyewe ukajibu unalotaka.Asilimia chache sana ameacha katika kufanya ulimwengu uwe perfect , nazani tumsifie Kwa kile kidogo alichofanya , Mungu fundi sana , tuna enjoy Kwa kidogo icho icho alichotuumbia ,
Kanisani au kanisanii?Kiranga leo j5 ya majivu umeenda kanisani lakini
Nampongeza Papa kwa kukosa jibu, hapa angesema freewill ingekua mtifuanoWale wote wanaosema Kiranga anapenda sana hizi mada oneni sasa, Kiranga anaitwa sana kuchangia hizi mada.
Kwa sababu watu wengi wanapenda kusikia mawazo ya Kiranga kuhusu hizi mada.
Kuhusu dini kuchanganya watu.
Dini lazima zikuchanganye.
Kwa sababu zimejengwa katika misingi ya uongo.
Hao mapapa wamesoma falsafa na theolojia wengi wao kiukweli ni ma atheist ila wanajifanya wanaamini Mungu kwa sababu wanaona hiyo ndiyo njia ya ku control watu tu.
Ni vigumu sana kusoma falsafa na theology ukafika level ya kuwa Cardinal au Papa bila ya kujua mambo kama the problem of evil na kuwa na uelewa kuwa hizi dini ni kabobo tu.
Papa Francis aloulizwa swali la the problemnof evil na kasichana kadogo hapo Manila, kaliuliza kwa nini watoto wadogo wanaishia kujiuza kwa natatizo wakati kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote?
Papa alishindwa kujibu na akaishia kulipiga danadana za kisiasa tu swali hilo.
![]()
What Pope Francis learned from homeless girl: 'Cry with the suffering!'
Pope Francis praised Filipino former homeless girl Glyzelle Palomar for asking why God allows children to suffer, saying her tearful question show that Christians must “learn how to weep.”www.catholicnewsagency.com
PAPA Francis anapigania maisha huko ICU yaani hataki kwenda mbinguni [emoji1787]
Izi DINI sometime zinachanganya sana sasa papa hataki kwenda mbinguni nani anataka? kama papa hataki?...
Kwaresma NJEMA.