Huyu kiongozi wa M23 kwa nini anaongea kiswahili cha Dar es salaam kabisa?
Hiki siyo kiswahili cha Congo. Wacongo kiswahili Chao tunakifahamu vizuri, hiki kiswahili cha huyu jamaa siyo cha wacongoman kabisa.
Bado nahisi tuna shida mahali.
Tanzania 🇹🇿 tuache mambo ya ujirani mwema, tunatakiwa tuanze kuwa na roho ngumu kwelikweli.
View: https://x.com/IGIHE/status/1885031018551533985?t=ZoXWAhPrEJ6-bOMNzfSfAw&s=19
Hiki siyo kiswahili cha Congo. Wacongo kiswahili Chao tunakifahamu vizuri, hiki kiswahili cha huyu jamaa siyo cha wacongoman kabisa.
Bado nahisi tuna shida mahali.
Tanzania 🇹🇿 tuache mambo ya ujirani mwema, tunatakiwa tuanze kuwa na roho ngumu kwelikweli.
View: https://x.com/IGIHE/status/1885031018551533985?t=ZoXWAhPrEJ6-bOMNzfSfAw&s=19