Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Tutaanza na weweKampeni ya kurudisha wahamiaji inayofanyika US na huku kwetu ifanyike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaanza na weweKampeni ya kurudisha wahamiaji inayofanyika US na huku kwetu ifanyike.
i like you answerTatizo mitanzania inajionaga special ikiwa imejfungia ndani😀😀
Goma, burundi rwanda uganda watu wanaongea kiswahili vizur kuliko hata uyo pot
Haiwezekani mzamie, mkae bure tuTutaanza na wewe
lafudhi yake ndio inayomfunga iyo laufudhi ni ya mtanzania kabisaKwani Kiswahili ni lugha ya Tanzania peke yake??
Huyu kiongozi wa M23 kwa nini anaongea kiswahili cha Dar es salaam kabisa?
Hiki siyo kiswahili cha Congo. Wacongo kiswahili Chao tunakifahamu vizuri, hiki kiswahili cha huyu jamaa siyo cha wacongoman kabisa.
Bado nahisi tuna shida mahali.
Tanzania 🇹🇿 tuache mambo ya ujirani mwema, tunatakiwa tuanze kuwa na roho ngumu kwelikweli.
View: https://x.com/IGIHE/status/1885031018551533985?t=ZoXWAhPrEJ6-bOMNzfSfAw&s=19
***** huyu ni mtoto wa sinza kabisa.
Muhimu lianzishe then utajua nani mzamiaji na nani anakula bure , kama bado utakuwa mzima, ukabila haujawahi kumwacha mtu salama na Nyerere aliwahi kuonya hiloHaiwezekani mzamie, mkae bure tu
Kwa hiyo unamaanisha kila raia aliyepo humu ni mzamiaji?Muhimu lianzishe then utajua nani mzamiaji na nani anakula bure , kama bado utakuwa mzima, ukabila haujawahi kumwacha mtu salama na Nyerere aliwahi kuonya hilo
Hao wasomali, warundi etc na wakimbizi wengine wote historia ni moja tuu, waliita wengine wazamiaji huko walikotoka then wakajikuta wao wamekuwa wazamiaji , ukabila haujawahi kumwacha mtu salama nakaziaKwa hiyo unamaanisha kila raia aliyepo humu ni mzamiaji?
Sisi wengine ni wajukuu wa lile fuvu la kale, lililovumbuliwa pale olduvaiHao wasomali, warundi etc na wakimbizi wengine wote historia ni moja tuu, waliita wengine wazamiaji huko walikotoka then wakajikuta wao wamekuwa wazamiaji , ukabila haujawahi kumwacha mtu salama nakazia
Haijalishi, ukilianzisha utajua na mshindi ndio ataamuaSisi wengine ni wajukuu wa lile fuvu la kale, lililovumbuliwa pale olduvai
Tutaanza na kukagua cheti cha kuhitimu darasa la saba, unacho?Haijalishi, ukilianzisha utajua na mshindi ndio ataamua