Mbona huyu TID amekwisha hivi??

Mbona huyu TID amekwisha hivi??

sasa ndugu yangu humu tupo celebrities forum? Unaelewa lakini? Tunajadili na kupiga umbea kuhusu wasanii kwa ujumla..we kama hupendi hayo yapo majukwaa mengi tu jamiiforums kwa ajili yenu mlio serious..nenda huko..hizo media za majuu ndo zimejaa udaku kuliko bongo...kila mahala na watu wake kijana...hupendi unahamia kwingine

well said mkuu!!!

Aende great thinkers akaonyeshane kazi na akina Mchambuzi lol...huku anatuonea bureee
 
Last edited by a moderator:
du kabla picha haijakuzwa nilikuwa nafikiri sijui kibabu gani. Mmmh no coment. Maisha ni mlima na bonde.
 
Dah masikini.,kweli maisha ni tambara bovu.Vijana wanaangamia sasa hawa ni wasanii ndo mana wanajulikana,vp wale ambao wako mtaani na ndiyo idadi kubwa ya waathirika wa drugs.Nguvu kazi ya taifa inapungua.
Mola ibariki Tanzania,
Mzee wa nchi Rais Kikwete amekwisha jitolea kuwatibu endeleeni na biashara hiyo.Ray C alionyesha njia, Mhe wasanii wanaongezeka wala unga nafikri uanzishe taasisi ya kuwasaidia wote badala ya kuchagua mmoja mmoja.
 
Walimwengu bwana! Sasa maisha ya huyu yanakuhusu nini? Kawa ni ujinga/ubora ni wake, kuna mambo mengi ya kufuatilia katika maisha, nianze kuumiza kichwa kwanini TID amekonda nitakuwa na akili kweli?

ungepita kimya kimya tungekuona wa maana.....,
kama una mambo mengi ya kufatilia hayo na maisha yako
and that is your problem........
 
madawa ndo yamemzeesha........,
wifi yetu kazi anayo na wedding si very sooon

Hivi hata libeneke kunako 6*6 linawzekana kweli??Hebu tumwite Mzizi Mkavu atusaidie kama mateja wana uwezo wa kusimamisha sawasawa na kupiga game ya kiwango!!!LOL:bange:
 
Last edited by a moderator:
Naogopa tu hapa mkimjadili mtu ni kama mnamchuria ndani ya mwaka au miwili ngoma linalia
 
Naogopa tu hapa mkimjadili mtu ni kama mnamchuria ndani ya mwaka au miaka miwili ngoma linalia
 
Mabange na unga!!

Mkuu Marijuana sio kama unavyoifikiria kila mtu na kichwa chake kama unavyoiona pombe labda kwenye Cocaine+Heroine ndo nitakuSupport,,,nimeSmoke Weed 20yrs hakuna kibaya kwangu hadi dakika hii.
 
Mkuu Marijuana sio kama unavyoifikiria kila mtu na kichwa chake kama unavyoiona pombe labda kwenye Cocaine+Heroine ndo nitakuSupport,,,nimeSmoke Weed 20yrs hakuna kibaya kwangu hadi dakika hii.

hakuna kibaya? Subiri umri usogee ndipo utakapo juta! Kwanza hata sasa iv kuna vibaya vingi! We jichunguze 2 utajiona!
 
Hivi hata libeneke kunako 6*6 linawzekana kweli??Hebu tumwite Mzizi Mkavu atusaidie kama mateja wana uwezo wa kusimamisha sawasawa na kupiga game ya kiwango!!!LOL:bange:
mwanzoni kabla mtu hajawa chronic anapiga game ndefu kama katumia mundende!...stimu za ngada ukiwa katika game hamna starehe ya kufananisha nayo hapo duniani kwa mujibu wa wanangu ambao walikuwa wanagonga hii kitu wakiwa wana mechi.......kwa wakinondoni hili wanajua na ndo sababu ya baadhi ya wana kuingia katika huu uteja!..........binafsi ngada naipinga sana kwani huwezi kuicontrol
 
Mkuu Marijuana sio kama unavyoifikiria kila mtu na kichwa chake kama unavyoiona pombe labda kwenye Cocaine+Heroine ndo nitakuSupport,,,nimeSmoke Weed 20yrs hakuna kibaya kwangu hadi dakika hii.

Umri umeshasonga mkuu nimeshaacha kitambo sana that why nakuambia hakuna kilichonitokea cha ajabu hadi sasa hivi.
 
Back
Top Bottom