Nikiwa Mtanzania nakubaliana na wewe. Bunge letu lina watu kama Kibabaji, Msukuma, Sanga, na yule mama wa wa CCM mwenye maneno kama maneno ya kwenye khanga mama wa mipasho anaga point. Ukweli ukichukua wabunge wetu ukawachanganya na waKenya utaona % kubwa watakuwa kama zombiesMkuu umenisikitisha Sana. Ukumbi wa Bunge la Tanzania ni mzuri na wa gharama Mara elfu ya ule wa mabunge ya uingereza, lakini ndio Bunge lenye vilaza wengi kuliko mabunge yote duniani[emoji39][emoji16]
Hapo panazidiwa na kwa hayati bilionea reginald mengi pale kinondoni[emoji23]
π€£ππ€£ππ€£πIkulu ya Kenya inafanana na Godown la mafuta ya samli.
Wewe kweli akili umepoteza wapi?
State House ama presidential palace ni jumba la kuonyesha nguvu/power. Sio ukumbi wa maombi kama hio ya Tanzania.
Na kuna majumba mengi ya kibinafsi ambayo ni makubwa kuliko palaces.
State House ama palaces mingi ziko na Greek-style pillars? Waanzilishi wa demokrasia.
Hiyo yenu ya Tanzania ni wannabe wa zile golden palaces za middle east. Lakini ata haikaribii. Haivutii kusema kweli.
Wewe cheka manyang'au yakuone. [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji4]
Hata kisemeo Chao wewe unakionaje? Apana sio kisemeo ni kile kitoa sauti [emoji16]Nikiwa Mtanzania nakubaliana na wewe. Bunge letu lina watu kama Kibabaji, Msukuma, Sanga, na yule mama wa wa CCM mwenye maneno kama maneno ya kwenye khanga mama wa mipasho anaga point. Ukweli ukichukua wabunge wetu ukawachanganya na waKenya utaona % kubwa watakuwa kama zombies
Hata kisemeo Chao wewe unakionaje? Apana sio kisemeo ni kile kitoa sauti [emoji16]Nikiwa Mtanzania nakubaliana na wewe. Bunge letu lina watu kama Kibabaji, Msukuma, Sanga, na yule mama wa wa CCM mwenye maneno kama maneno ya kwenye khanga mama wa mipasho anaga point. Ukweli ukichukua wabunge wetu ukawachanganya na waKenya utaona % kubwa watakuwa kama zombies
Cha kwao kiko sawa na ukileta za kuleta kisemeo kinaruhusu mnazichapa kuondoa udhia, chetu unaitiwa wale askari wanakupiga Tanganyika jekiHata kisemeo Chao wewe unakionaje? Apana sio kisemeo ni kile kitoa sauti [emoji16]
Mkuu natambua sana hill kuwa kuna Ikulu inazidiwa na mijengo mingi tu
Ila palace ya Kenya it's too local
I see why it would seem so to people without class.
First of all, its not a palace. It's the presidential office. The only president who has ever slept there is Kibaki.
Secondly, it's not the best looking presidential residence in the world, but it is hundreds of times better-looking than that mosque in Dar.
yote mazuri sema ikulu ya kenya imekaa kimtindo wa kizungu sana na ya kwetu ipo kama jengo la kihindi ama la kiarabu,Kenya State House
View attachment 1109366
United Republic of Tanzania State House:-
View attachment 1109367
Ok thanks for your alert, please let me know why the uhuru is not sleeping there
Our own white house in Tanzania built by the colonists that is not mosque
ila kwa tanzania hiyo ni ikulu ya zamani ya rais. tusubiri ikulu ya dodoma itafananajeMazingira pamoja na majengo ya Ikulu ya Kenya ni ya kawaida sana
Ukiangalia hata ukumbi wa mikutano designed very poor compare to that of Ikulu ya Tanzania
Yaani Kama kusingekuwepo nembo ya harembee ungesema labda ni hostel
Take it as a challenge mbadilishe Ikulu wakenya Hiyo ndio taswira ya nchi
Ikulu ya Tanzania inavutia sana
hivi kama nina hela, nikaamua kujenga nyumba yangu kwa kuiga mchoro wa ikulu, vipi, nitafuatiliwa na usalama wa taifa?Kenya State House
View attachment 1109366
United Republic of Tanzania State House:-
View attachment 1109367
Bunge la Tz lilichorwa na mkenya, Architect James Kimathi.Bunge la Tanzania ni la kisasa Kwa sababu ujenzi wake ni wa Sasa bunge la Kenya limejengwa enzi ya mkoloni.
Nakazia rafiki yake duraPicha ziko wapi?
ila kwa tanzania hiyo ni ikulu ya zamani ya rais. tusubiri ikulu ya dodoma itafananaje