Mbona Instagram inatumia bando kubwa sana?

Mbona Instagram inatumia bando kubwa sana?

Katika msimu huu wa vifurushi bei juu. App zinazokula sana data n pamoja na instagram
yaan kumaliza GB MOJA NI KUGUSA!

Nimejaribu kusette data saver lakin naona kama haisaidii.

Je, wewe unafanyaje kupunguza matumizi?
Siupendi kabisa huo mtandao
 
10 arguments for deleting social media accounts by jaron Lanier
 
Huko huwa natumia kwa wifi ya ofisini yani mida nikiwa ofisini ndio naperuzi insta. Hata hivo huko hakuna cha maana zaidi ya madeni kulingishia matako tu.
 
Katika msimu huu wa vifurushi bei juu. App zinazokula sana data n pamoja na instagram
yaan kumaliza GB MOJA NI KUGUSA!

Nimejaribu kusette data saver lakin naona kama haisaidii.

Je, wewe unafanyaje kupunguza matumizi?
Tumia Instagram Lite mkuu haili bando sana hata ushinde huko
 
Instagram ni jini lile, linanyonya Mb kama Damu vile, usipokuwa na self control Instagram inaweza kukufanya ukajiunga bando kila siku.

Anyway me pia nilikuwa muhanga wa hilo, ili kuendana na huu ukata na vifurushi kuwa bei juu niliamua kubadirika.

Niliamua kuwa na self control tu maana japokuwa kweli tuna enjoy huko mjini Instagram ila hakuna cha maana tunachoingiza, unless otherwise uwe unafanya biashara za mitandaoni.

Nilijiwekea ratiba ya kuingia mjini Instagram, Kwa siku naingia mara 3 tu, kuanzia asubui ya 3-4 kisha natoka, narudi tena jioni ya 10-11 kisha namalizia na usiku wa sa 3-4

Target ikiwa ni kuvizia matukio muhimu, mfano kama Mimi napenda sana mpira so info za mpira kama zitatokea night nishalala, basi nitazikuta asubui sa 4, na kama zitatokea nishatoka huko nitazikuta jioni, na zikitokea jioni nazimalizia usiku, kwahiyo ni kama vile life cycle hivi.

Kwahiyo saizi natumia zangu Mbs 3300 kwa week, najiunga kila jpil, na kama ikitokea jpil imefika bado zipo basi naenda kuzimalizia YouTube kabla sijaunga zingine.
Dah yaani hii ni kutesana kweli kweli jamani
 
Katika msimu huu wa vifurushi bei juu. App zinazokula sana data n pamoja na instagram
yaan kumaliza GB MOJA NI KUGUSA!

Nimejaribu kusette data saver lakin naona kama haisaidii.

Je, wewe unafanyaje kupunguza matumizi?
Tumia vi pi eni
 
hvi mnapata faida gani kwenye hio mitandao unakuta mtu yupo insta, tiktok, fb, snapchat na kote huko hana biashara anafanya ni kuzunguka kutafta umbea na video za kipumbavu kwan ukiwa na app yako ya jf info kibao unazipata humu mnahangaika naomba mungu bundle zipande bei zaidi ili mpunguze viherehere
 
INSTA NI JINI MAKATA MNYONYA DAMU AKA KOPOLE YANI KAMA UMEJIUNGA GB1 DK5 TU SMS ndugu mteja umetumia 75% ya kifurushi chako
 
Ni shida
Screenshot_20221017_200701.jpg
 
Back
Top Bottom