Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siupendi kabisa huo mtandaoKatika msimu huu wa vifurushi bei juu. App zinazokula sana data n pamoja na instagram
yaan kumaliza GB MOJA NI KUGUSA!
Nimejaribu kusette data saver lakin naona kama haisaidii.
Je, wewe unafanyaje kupunguza matumizi?
Coverage ya Network inategemeana na Eneo mtumiaji alipo bt Kwa maeneo nliyopo mimi Voda wanafanya vizuriInternet ya airtel ikoje
Tumia Instagram Lite mkuu haili bando sana hata ushinde hukoKatika msimu huu wa vifurushi bei juu. App zinazokula sana data n pamoja na instagram
yaan kumaliza GB MOJA NI KUGUSA!
Nimejaribu kusette data saver lakin naona kama haisaidii.
Je, wewe unafanyaje kupunguza matumizi?
Dah yaani hii ni kutesana kweli kweli jamaniInstagram ni jini lile, linanyonya Mb kama Damu vile, usipokuwa na self control Instagram inaweza kukufanya ukajiunga bando kila siku.
Anyway me pia nilikuwa muhanga wa hilo, ili kuendana na huu ukata na vifurushi kuwa bei juu niliamua kubadirika.
Niliamua kuwa na self control tu maana japokuwa kweli tuna enjoy huko mjini Instagram ila hakuna cha maana tunachoingiza, unless otherwise uwe unafanya biashara za mitandaoni.
Nilijiwekea ratiba ya kuingia mjini Instagram, Kwa siku naingia mara 3 tu, kuanzia asubui ya 3-4 kisha natoka, narudi tena jioni ya 10-11 kisha namalizia na usiku wa sa 3-4
Target ikiwa ni kuvizia matukio muhimu, mfano kama Mimi napenda sana mpira so info za mpira kama zitatokea night nishalala, basi nitazikuta asubui sa 4, na kama zitatokea nishatoka huko nitazikuta jioni, na zikitokea jioni nazimalizia usiku, kwahiyo ni kama vile life cycle hivi.
Kwahiyo saizi natumia zangu Mbs 3300 kwa week, najiunga kila jpil, na kama ikitokea jpil imefika bado zipo basi naenda kuzimalizia YouTube kabla sijaunga zingine.
Tumia vi pi eniKatika msimu huu wa vifurushi bei juu. App zinazokula sana data n pamoja na instagram
yaan kumaliza GB MOJA NI KUGUSA!
Nimejaribu kusette data saver lakin naona kama haisaidii.
Je, wewe unafanyaje kupunguza matumizi?
Insta hata ukitumia chrome video zipo auto play tuMimi niligundua uchawi ni auto play ya videos nikaangaika setting hola. Nimeamia google chrome.
Wadau vipi jf kati ya app na chrome.
Sio kweli. Video zipo auto play tuNatumia Instagram lite iko poa tu
Wanaweza kuja wale jamaa wa bandle za bure sasa hv, nakutahadharisha kua makini
Kama sio kwa VPN basi hakuna namna ya kula free bandle usilipie
Mimi haziplay automatically.Insta hata ukitumia chrome video zipo auto play tu
Nipe details vizuri mkuu. Mimi inagoma yaani bando la 3k nanunua kila sikuMimi haziplay automatically.
Ila kuna telegram nao sio poa