Mbona Israel hawajamtambua mateka wa Tanzania aliyekufa

Mbona Israel hawajamtambua mateka wa Tanzania aliyekufa

Mnachekesha sana.yaani mtu atekwe Israel alikopelekwa kusoma halafu lawama apelekewe Hamas.
Na hiyo yote ni kwa vile hili tukio limemuhusisha muislamu.Halafu mnasema watanzania wanaleta mambo ya udini.
kama angekufa nchi ya kiislamu si kuilaumu hiyo nchi tu bali na fidia tungedai
Kumbuka shambulio bandia la New York .Marekani iliiangushia zigo Saudia na nakumbuka mpaka akaunti nyingi za waislamu na Saudia zilitaifishwa wakati wala hawakupewa taarifa ya tukio hilo.Waliokuwa na taarifa ni Israel pekee.
Mbona nyinyi wenye bongo zisizokuwa makamasi sikuwahi kuwasikia mkishangaa mkasa huo.
Watanzania waliotekwa kwanza Israel iseme mazingira ya kutekwa kwao na huyu aliyekufa alikufa wapi..Wote wawili walikuwa shule au kwenye kambi zao.Halafu wadaiwe fidia ya mabilioni ya dola ziwafae wanafamilia.Waache ujanja wao na visa vyao.
Hivi bro kichwani una japo kidogo ile akili ya kuzaliwa nayo?acha hizi artificially za kukaririshwa shuleni na madrassa nauliza ile ulitoka nayo tumboni mwa mama yako!

Wewe kinakuuma kifo cha Mtanzania mwenzako au unaumia Hamas kutajwa kama chanzo cha kifo chake?yaani afe ngozi nyeusi mwenzako,mna-share utaifa,bara moja sometimes hata ktk muingiliano wa jamii tulio nao bongo upo uwezekano kuna wanandugu wanafamiana kati ya wewe na marehemu lakini hilo hujali unasimama na ngozi nyeupe?

Una akili za kipekee wewe jamaa
 
Kwa kweli tulipofikia inatia kinyaa. Hamas wamemteka kijana mwanetu aliyekuwa Israel nadhani wakamfanya mateka, sasa kuna vichaa wanakuja na kuilaumu Israel tena dah!
Ivi kuna ushahidi kuwa alikua ni mateka wa Hamas? Au taarifa kamili inayoeleza kifo chake kimesababishwa na nini au amefariki akiwa wapi( Gaza au Israel)?

Taarifa imetolewa bado haijitoshelezi so haipaswi kutupa lawama kwa Israel wala Hamas. Ku'judge kitu bila taarifa kamili ni upumbavu tu kila mtu atavutia upande wake
 
Hapa mnnataka kutuaminisha kuwa kauliwa na Hamas, ukweli kuuliwa na Israel Serikali yenyewe imeleta taarifa isiyo kamili ili kujaribu kubalance, kumbuka serikali inasema haifungamani na upande wowote, hivyo wasingesema ISRAEL, ishu ni kafa, Israel wameombwa watusaidie mwili urudi nyumbani basi sasa wews unaleta porojo.
 
Unaweza ukawa kichaa wewe kwa kutotambua mvamizi ni nani na kifo chake kimetokana na nini
No seems kichaa ni wewe!!!

Kwamba kijana Mtanzania aged 22 akatoka Tanzania akaenda kuvamia Palestine?alipovamiwa Mzayuni hakuna aliyefariki?
 
Israel anavyo wa treat wafrika ni kama mbwa bado mbwa anathamani
Hata waarabu chief,kwa ufupi ngozi nyeusi haina mpenzi mweupe angalia dada zako wanavyofurushwa kwenye maghorofa hapo arabuni.

Hakuna mwenye afadhali.
 
Sisi Watanzania wachache ni wapumbavu sana akiwemo mleta mada. Tumekuwa mstari wa mbele kushadadia hii vita kwa kuegemea mlengo wa Dini zetu. Kwakweli hii sio sawa, inaonyesha kwa kiasi gani vichwa vyetu vimejaa Makamasi na UTI badala ya Ubongo. Hoja zozote zenye msukumo wa Dini ni kiashiria cha Ujinga na Upumbavu uliovuka kiwango. Tujifunze kuchambua vitu kwa kuzingatia hoja zenye weledi wenye mantiki.
Tuacheni tuomboleze kifo cha Mtanzania mwenzetu kwanza msianze kushindana kutafuta nani kamuuaa kwa mlengo wa Dini zenu keng.e nyie.
Kuna Valid Concern kuwashuku Israel, kama umesoma report ya Israel Jana/Juzi wamepunguza idadi ya waliokufa wanajeshi wao, na sababu ni kwamba miili ilingua sana na hhawakuweza kutambua.

Hii ina Thibitisha theory za mwanzo kwamba israel walipiga hayo maeneo indiscriminately na kuua chochote mbele yao bila kujali kama ni raia wao ama wa kigeni, maana hamas hana silaha ya kuunguza mtu asijulikane mpaka siku kadhaa vifanyike vipimo vikubwa.

Ndugu wa Marehemu wanaweza wakatupa information zaidi.

Source huyu Bidada kachambua vizuri


View: https://twitter.com/caitoz/status/1725612823848653070
 
Hapa mnnataka kutuaminisha kuwa kauliwa na Hamas, ukweli kuuliwa na Israel Serikali yenyewe imeleta taarifa isiyo kamili ili kujaribu kubalance, kumbuka serikali inasema haifungamani na upande wowote, hivyo wasingesema ISRAEL, ishu ni kafa, Israel wameombwa watusaidie mwili urudi nyumbani basi sasa wews unaleta porojo.
Al Shifa ndimo walifungiwa Mateka
 
Taarifa zimezagaa kuwa mmoja wa mateka wawili wa kitanzania waliokuwa huko Gaza ameshafariki dunia.Mateka huyo anaitwa Clemence Felix Mtenga, mwenye umri wa miaka 22.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na Bbc Israel ilikubali kuwa kweli ameuwawa lakini katika orodha za waliotajwa kufa tayari walikuwa bado hawajaweka jina lake kumtambua.
Kama waziri wa mambo ya nchi za nje asingehoji kuhusu raia hao wala asingejulishwa.
Waliotajwa rasmi kujulikana kuwa wameshakufa ni pamoja na raia Marekani na wengine mayahudi wenzao.Jee hii ina maana wao walihusika na kifo chake na kutaka kuficha siri au ni kutokana na kuwaona watu wengine kama nyani wakiwa hai au wamekufa.
Wewe ndo ulienda Gaza ukamtambua?
Na huyo mtanzania naye aliwafanyia nini wapalestina?
Hayo magaidi ya kipalestina lazima yafe yote pumbavu
 
Taarifa zimezagaa kuwa mmoja wa mateka wawili wa kitanzania waliokuwa huko Gaza ameshafariki dunia.Mateka huyo anaitwa Clemence Felix Mtenga, mwenye umri wa miaka 22.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na Bbc Israel ilikubali kuwa kweli ameuwawa lakini katika orodha za waliotajwa kufa tayari walikuwa bado hawajaweka jina lake kumtambua.
Kama waziri wa mambo ya nchi za nje asingehoji kuhusu raia hao wala asingejulishwa.
Waliotajwa rasmi kujulikana kuwa wameshakufa ni pamoja na raia Marekani na wengine mayahudi wenzao.Jee hii ina maana wao walihusika na kifo chake na kutaka kuficha siri au ni kutokana na kuwaona watu wengine kama nyani wakiwa hai au wamekufa.
Maoni ya Kiislam islam.. yana kachuki chuki ndani yake
 
Sisi Watanzania wachache ni wapumbavu sana akiwemo mleta mada. Tumekuwa mstari wa mbele kushadadia hii vita kwa kuegemea mlengo wa Dini zetu. Kwakweli hii sio sawa, inaonyesha kwa kiasi gani vichwa vyetu vimejaa Makamasi na UTI badala ya Ubongo. Hoja zozote zenye msukumo wa Dini ni kiashiria cha Ujinga na Upumbavu uliovuka kiwango. Tujifunze kuchambua vitu kwa kuzingatia hoja zenye weledi wenye mantiki.
Tuacheni tuomboleze kifo cha Mtanzania mwenzetu kwanza msianze kushindana kutafuta nani kamuuaa kwa mlengo wa Dini zenu keng.e nyie.
Mkuu watu wenye udini ni Waislamu wala usizunguke mbuyu,swali nani kamuua,lipo wazi kauliwa na magaidi ya kiislamu yanayojulikana Kama HAMAS.
Sasa na huyo mtanzania alipora ardhi ya Wapalestina kiasi kwamba wamuue?
Washenz Hawa lazima wafe wote
 
Taarifa zimezagaa kuwa mmoja wa mateka wawili wa kitanzania waliokuwa huko Gaza ameshafariki dunia.Mateka huyo anaitwa Clemence Felix Mtenga, mwenye umri wa miaka 22.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na Bbc Israel ilikubali kuwa kweli ameuwawa lakini katika orodha za waliotajwa kufa tayari walikuwa bado hawajaweka jina lake kumtambua.
Kama waziri wa mambo ya nchi za nje asingehoji kuhusu raia hao wala asingejulishwa.
Waliotajwa rasmi kujulikana kuwa wameshakufa ni pamoja na raia Marekani na wengine mayahudi wenzao.Jee hii ina maana wao walihusika na kifo chake na kutaka kuficha siri au ni kutokana na kuwaona watu wengine kama nyani wakiwa hai au wamekufa.
Ndo mjue sasa hamtakiwi mnajipendekeza tu kwa Israeli huyo hana thamani yoyote kwenu
 
Makonda atoe tamko la kumfukuza Barozi wa Magaidi Palestina mara moja
 
Kwani chanzo cha kifo kimetajwa mk

Unaweza ukawa kichaa wewe kwa kutotambua mvamizi ni nani na kifo chake kimetokana na nini
Ndio maana ninataja neno ukichaa, sababu hata utambui kuwa tarehe saba Hamas waliivamia Israel, na pia hijui kuwa kijana wetu alikuwa Israel anasoma sasa umaongea utumbo gani hapa. Unafikiria kuwa Israel waljivamia na kuathiri maisha ya huyo kijana!?
 
Back
Top Bottom