Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajatenguliwa amehamishiwa wizara ya Nape..Kwa hiyo badilisha Kichwa Cha uzi wako...Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Slaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa?
Siku zote inabidi tuhakikishe tuna mifumo ya haki. Yale yote ambayo aliyafanya jerry slaa yamekweisha. Wale aliosema ni wezi mahakama hazikutenda haki wanaenda tena kuchukua vile viwanja maana wao wana hizo hukumu za mahakama wahusika wana kauli tu ya waziri.Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Slaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa?
Jerry hakupaswa hata kubaki kwenye Baraza la mawaziri.Siku zote inabidi tuhakikishe tuna mifumo ya haki. Yale yote ambayo aliyafanya jerry slaa yamekweisha. Wale aliosema ni wezi mahakama hazikutenda haki wanaenda tena kuchukua vile viwanja maana wao wana hizo hukumu za mahakama wahusika wana kauli tu ya rais.
Tujifunze kutokutegemea mtu bali mifumo. Kama mahakama zitakuwa hazitendi haki inabidi mfumo wa mahakama ufumuliwe maana mtu akiondoka kama waziri matatizo yanarudi pale pale. Viongozi badala ya kujenga mifumo wao wananijenga wao wafaidike kisiasa na raia wanashangilia.Jerry hakupaswa hata kubaki kwenye Baraza la mawaziri.
Jerry kwa maoni yangu angebaki wizara ya ardhi,Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Slaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa?
Kubaki kwake kusingesaidia, kama tatizo ni mahakama inabidi mfumo wa mahakama ufumuliwe. Sasa kinachoenda kutokea ni watu kudai tena ardhi zao maana wao wana hukumu ya mahakama hizo zinazosemekana zimetoa hukumu kwa rushwa, wakati hao aliowarudishia ardhi wana kauli ya waziri aliyekuwa.Jerry kwa maoni yangu angebaki wizara ya ardhi,
Uko sahihi, alikuwa anafanya kazi njzuri pamoja na mapungufu ya kuwaweka watu ndani... Polisi weka ndani huyo...hii ilikuwa kasoro kubwa, lakini ilikuwa inarekebishika.Jerry kwa maoni yangu angebaki wizara ya ardhi,
Spana Jamaa nasubiria tu spana zake huko Mawasiliano Tower akionekana ameenda kuungana nao na yeye anatupwa kuleNimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Slaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa?
OKMkuu, Jerry Slaa si amehamishwa tu Wizara!
Bora wamrudishe Mzee Lukuvi kuliko huyo punguwani MsigwaUko sahihi, alikuwa anafanya kazi njzuri pamoja na mapungufu ya kuwaweka watu ndani... Polisi weka ndani huyo...hii ilikuwa kasoro kubwa, lakini ilikuwa inarekebishika.
Nadhani Msigwa atapewa huko ili awafurushe wamasai Ngorogoro
Hujitambui wewe. Ungekuwa umedhulumiwa wewe ardhi usingekuja na kauli hii. So wakati unasubiri kubadili mifumo na kuitengeneza haki za wanaodhulumiwa zisubiri kwanza?Kubaki kwake kusingesaidia, kama tatizo ni mahakama inabidi mfumo wa mahakama ufumuliwe. Sasa kinachoenda kutokea ni watu kudai tena ardhi zao maana wao wana hukumu ya mahakama hizo zinazosemekana zimetoa hukumu kwa rushwa, wakati hao aliowarudishia ardhi wana kauli ya waziri aliyekuwa.
Tupiganie mifumo sio mtu.
Tatizo ni kukataa facts. Sasa kaondolewa wewe wadhani nini kitafuata. Yaani yale yalitekelezwa kwa sababu alikuwa waziri. Wale wanarudi kuchukua tena vile viwanja maana wana hukumu za mahakama. Wewe wadhani kati ya kauli ya waziri ambaye amehamishwa wizara na hukumu ya mahakama kipi kitasimama?Hujitambui wewe. Ungekuwa umedhulumiwa wewe ardhi usingekuja na kauli hii. So wakati unasubiri kubadili mifumo na kuitengeneza haki za wanaodhulumiwa zisubiri kwanza?
lakini kwanini amehamishwa hapo? Amefanya kosa gani? Hukumu zake za papo kwa paoo?Mkuu, Jerry Slaa si amehamishwa tu Wizara!