Mangi Muitori
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 638
- 411
Jerry ilijulikana ni jambo la muda duh, Ngoma ivumayo, wacha akakae kwenye minaraNimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? amefanya hitilafu gani hapo ardhi?