- Thread starter
- #61
Maslahi ya Samia? "yao" hao nani?Kagusa masilahi yao kwenye ardhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maslahi ya Samia? "yao" hao nani?Kagusa masilahi yao kwenye ardhi
TZ hizi kampuni hazina ushindani,zina maridhiano ya kuwanyonya raia,huu mpango wa vifurushi sijui ni wizi mtu,sijui voda to voda,voda to mitandao mingine,kifurushi cha usiku sijui cha chuo ukija kwenye data ndio tunaibiwa nje nje,kwa wenzetu hawana ujinga huu,recharge card zipo 2 tu,call na data,ninaporecharge call napiga mtandao wowote,slaa akaondoe huu ubabaishaji tunaibiwa sanaAende huko akae na haya makampuni data hazikai mazee hata ununue ya kiasi gani yaani unaweza ukanunua Airtel ya Zambia ukaa Tanzania na SA wiki tatu ukipita Zambia ukiweka line Data ipo ile ya mwezi ila hauwezi kufanya hicho kitu Tanzania...
Sidhani kama ni muhimu kujadili. Sababu zilizimfanya ateuwe mbina hatukuuliza? Sasa kwa Nini tuulize za kutenguliwa au kuhamishwa wizaraNimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Tanzania huwezi kuangalia movie yeyote kwa 5gb utapata meseji wakati 5gb hizo Malawi au Zambia zitabaki hawa jamaa ni wezi balaa...TZ hizi kampuni hazina ushindani,zina maridhiano ya kuwanyonya raia,huu mpango wa vifurushi sijui ni wizi mtu,sijui voda to voda,voda to mitandao mingine,kifurushi cha usiku sijui cha chuo ukija kwenye data ndio tunaibiwa nje nje,kwa wenzetu hawana ujinga huu,recharge card zipo 2 tu,call na data,ninaporecharge call napiga mtandao wowote,slaa akaondoe huu ubabaishaji tunaibiwa sana
Kawaida ya mwanadamu, hatuulizi mazuri yakitendeka, hatupati taharuki. Tunauliza na kupata taharuki mabaya yakitendeka. HATUULIZI KWANINI MTU AMEXZALIWA, TUNAULIZA AMEKUFA KWA UGONJWA GANISidhani kama ni muhimu kujadili. Sababu zilizimfanya ateuwe mbina hatukuuliza? Sasa kwa Nini tuulize za kutenguliwa au kuhamishwa wizara
Kamwe usidharau watu!Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Nape alitumia madaraka yake vibaya!Tanzania huwezi kuangalia movie yeyote kwa 5gb utapata meseji wakati 5gb hizo Malawi au Zambia zitabaki hawa jamaa ni wezi balaa...
Matapeli wa viwanja mmefurahi Jerry Slaa kuondolewaJery slaa alitakiwa na yeye atenguliwe .
Ni mtu mpuudhi na
uko sahihiUkiona Jerry hakebehewi ujue sio mla rushwa, Hana nyumba ndogo kila mtaa, hakupata div. Four ya D zote, hakufeli siasa, sio mwizi, sio Bumunda, Ni mchapa kazi, hadharauliwi, sio mhuni, sio Malaya, sio mlevi wa kupindukia, hampigi mke wake mateke na haropoki.
Sijamtaja mtu zaidi ya kumsifia Slaa.
Tukimwambia wanatuibia data yeye anakua msemaji wa makampuni tena..Nape alitumia madaraka yake vibaya!
Sijui kwanini kaishia tu kutumbuliwa uwaziri badala ya kufikishwa mahakamani!
Sijui alituonaje tu!Tukimwambia wanatuibia data yeye anakua msemaji wa makampuni tena..
Tumesha waambieni kwamba hawa vijana wawili hawana Akili ila wamejaliwa kiburi na majivuno basi zaidi ya hapo utawaonea.Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Alimdhalilisha mwananchi morogoroNimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
ogopa pozi kama ili
iView attachment 3048454
Very sad...Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?
Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Nasikia ajatoka ndani leo yani marobot yana msumbua kuna moja lile la bungeni limeomba waachane maana awezi kuishi gobaJamaa amekula ngumi ya chembe