Mbona Jerry Silaa hajadiliwi kama Nape na Makamba wanavyojadiliwa na kukebehiwa katika kutenguliwa?

Mbona Jerry Silaa hajadiliwi kama Nape na Makamba wanavyojadiliwa na kukebehiwa katika kutenguliwa?

Sana tu. Bila goli la mkono kunako 2020 alishakosa ubunge. Jimbo lake la Ukonga ndilo jimbo lenye miundombinu mibovu kwa mkoa mzima wa Dar, imagine ni wilaya yenye jiji (Ilala) lakini barabara ni mbovu hakuna mfano. Yuko busy na masuala ya ardhi kasahau jimbo.
Huwa siwaelewi watu wanaomtetea Jerry Silaa, hako katoto ni kapumbavu sana, amekuwa Meya wa ilala hajafanya lolote kwenye kata iliyompa udiwani, Moshi Bar aliacha bila lami.

Hata huo Ubunge ni wa asante Magufuli, aliyeshinda kura za maoni za ccm ni yule Muhindi Magufuli akamkata jina ndio akateuliwa huyo mjingam

Mwaka 2020 kungekuwa na uchaguzi Jerry asingepata ubunge, lakini yule shetani wa Chato akaamuwa kuhujumu uchaguzi na kupora haki ya wananchi kuchaguwa viongozi wao.

Kama Magufuli hayupo motoni basi na moto wenyewe ujuwe haupo ni hadithi tu.
 
Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?

Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Jerry Silaa ametenguliwa kupambana na dhulumati wa ardhi kwa kisingizio anabadilishwa tu wizara. Sina hakika anayemrithi ataendelea kua tumaini kwa wanyonge wanaodhulumiwa ardhi. Bila shaka mama alipoona ulazima kuwatupa nje wahuni hao wawili wenye chuki na Magufuli wenzao wakaona fursa kumshauri mama kumuondoa ardhi Silaa mtu anahitajika sana pale kwa sasa.
 
Huwa siwaelewi watu wanaomtetea Jerry Silaa, hako katoto ni kapumbavu sana, amekuwa Meya wa ilala hajafanya lolote kwenye kata iliyompa udiwani, Moshi Bar aliacha bila lami.

Hata huo Ubunge ni wa asante Magufuli, aliyeshinda kura za maoni za ccm ni yule Muhindi Magufuli akamkata jina ndio akateuliwa huyo mjingam

Mwaka 2020 kungekuwa na uchaguzi Jerry asingepata ubunge, lakini yule shetani wa Chato akaamuwa kuhujumu uchaguzi na kupora haki ya wananchi kuchaguwa viongozi wao.

Kama Magufuli hayupo motoni basi na moto wenyewe ujuwe haupo ni hadithi tu.
Upo sahihi kabisa. Na alipokuwa meya alishirikiana na wahuni kuondoa barabara ya Banana - Msongola kutoka Halmashauri na kuipeleka Tanroads, sawasawa na ile ya kutoka Mombasa kwenda Kivule. Matokeo yake Tanroads ni kama wametelekeza kabisa barabara hizo, maana wana dela zaidi na trnk roads zinazoenda mikoani kuliko hizo za kwenye kata. Kimsingi jimbo la Ukonga halina moundombinu kabisa. Majohe kule ndio hovyo sana, yaani zile mvua za mwaka huu ni kama mawasiliano yalikatika kabisa.
 
Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?

Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?


Waadilifu wamekuwa disappointed much kuondololewa kwa Jerry slaa Pale ardhi.
Are we serious? 😭

Hii itakuwa imevunja moyo wengi sana ambao walivutiwa na namna ambavyo akifanya kazi .
 
Uungwana jamani
Jamaa alikuwa anawaheshimu sana watu akiwa anaongea nao
Mwisho wakaona huyu tumpandishie mabega na hapo akawa mbogo na kuanza kuwaweka ndani
Hilo ndio lilikuwa kosa kubwa kuingia mtego huo
Pia mambo ya mahakama nayo
Systems zetu mbovu sana ndio maana hata mkuu wa Mkoa anasema msiende mahakamani hakuna haki
Lazima sheria ziwe na nguvu kuliko matamko ya watu wachache wanaopewa madaraka
 
Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?

Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Nothing unite peoples kama hate
 
Wanaangalia maslahi yao hao,slaa kafanya kazi nzuri sana alipokua ardhi,kikubwa huko mawasiliano akaendeleze moto ule ule
Aende huko akae na haya makampuni data hazikai mazee hata ununue ya kiasi gani yaani unaweza ukanunua Airtel ya Zambia ukaa Tanzania na SA wiki tatu ukipita Zambia ukiweka line Data ipo ile ya mwezi ila hauwezi kufanya hicho kitu Tanzania...
 
Jerry Silaa ametenguliwa kupambana na dhulumati wa ardhi kwa kisingizio anabadilishwa tu wizara. Sina hakika anayemrithi ataendelea kua tumaini kwa wanyonge wanaodhulumiwa ardhi. Bila shaka mama alipoona ulazima kuwatupa nje wahuni hao wawili wenye chuki na Magufuli wenzao wakaona fursa kumshauri mama kumuondoa ardhi Silaa mtu anahitajika sana pale kwa sasa.
Tumuombeni Mama amrudishe Silaa Aridhi ili vita alioanzisha ya Matapeli wa Aridhi aimalizie mwenyewe!!
 
Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?

Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Huko jimboni kwake wanamjadili sana.
Hadi imefikia anawatuma wakina Ulega na Pinda kumsaidia kusawazisha.
 
Nimepitia mitandao karibu yote you can think of. Jerry Slaa hakuna anayemjadili. Kulikoni?

Jerry Silaa, amefanya kosa gani/amekosea wapi mpaka akatenguliwa/amehamishwa? Amefanya hitilafu gani hapo ardhi?
Huko jimboni kwake wanamjadili sana.
Hadi imefikia anawatuma wakina Ulega na Pinda kumsaidia kusawazisha
wanamjadili kuhusu nini
Wanadai ni kiongozi mwenye kiburi hasikilizi wananchi.
Hakuna alichokifanya kwenye jimbo lake la Ukonga.
Maji, barabara masoko ni changamoto.
 
Back
Top Bottom