Mbona kama vile kwa jirani kunawaka moto? Au Bado ni Moshi tu?

Mbona kama vile kwa jirani kunawaka moto? Au Bado ni Moshi tu?

Kwani zimamoto umewapigia simu?
Zimamoto wamechoka Kila wakizima jamaa wanawasha tena

20211212_200855.jpg
 
Kuna Mwananchi kamwaga Mafuta kwenye moto, unazidi kusambaa chini kwa chini.

Kila Kuni inataja "zambi" za mwenzie... Huenda week ijayo Ikawa shubiri kwa baadhi ya "wahanga".

Je ni Nini hatma ya "Wahamiaji"? Watawapaje hifadhi wakati moto unawaka nyumba nzima??

Kuna moto huko....
Wanatafuta Kiki tu ili kutusahaulisha kesi ya Mbowe Jtatu. Hatudanganyiki hao mafataki
 
Hizi fisi zinaparuana kweri-kweri

👇
"Najiuliza Mzee Philip Mangula yupo wapi kwa hili linaloendelea kwa Polepole? Kama aliweza kuwahoji makatibu wakuu Wazee Makamba na Kinana, ameshindwa nini kwa Polepole? Naamini, Polepole analo jambo na ukitaka kufanya jambo, usiseme nishikeni nisipigane, wewe pigana tu" - Bulembo
Mangula huyu huyu mkuu?...yule mzee mi ndio nilimsoma vizuri alipo kufa magu Yale maneno yake.
 
Hizi fisi zinaparuana kweri-kweri

[emoji116]
"Najiuliza Mzee Philip Mangula yupo wapi kwa hili linaloendelea kwa Polepole? Kama aliweza kuwahoji makatibu wakuu Wazee Makamba na Kinana, ameshindwa nini kwa Polepole? Naamini, Polepole analo jambo na ukitaka kufanya jambo, usiseme nishikeni nisipigane, wewe pigana tu" - Bulembo
Ahojiwe mara ngapi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Mwananchi kamwaga Mafuta kwenye moto, unazidi kusambaa chini kwa chini.

Kila Kuni inataja "zambi" za mwenzie... Huenda week ijayo Ikawa shubiri kwa baadhi ya "wahanga".

Je ni Nini hatma ya "Wahamiaji"? Watawapaje hifadhi wakati moto unawaka nyumba nzima??

Kuna moto huko....
Mkuu hawa akina bulembo na nape wanazidi kuonesha walishuriki na kuratibu kifo cha Dkt Magufuli. Kauli zao zinaashiria walishiriki hata kutaka kumuua Lisu, pia ndiyo hawa Mbowe wanataka afungwe, ndiyo hawa hawa wanamzunguka mama kuwa ni wakuja wanataka asifike 2025 ili wachukue nchi. Ni kundi hatari halipaswi kunyamaziwa.
 
Kweli CCM wameishiwa think tank, yaani mtu anatoka CUF na kwenda moja kwa moja kuwa katibu Mkuu wa CCM!

Ndiyo sababu Prof. Lipumba alisema "CCM kwisha kabisa, kifo cha mende"
Ndiyo maana ealiwanunua waliokubali kununuliwa kutoka upinzani ili wapunguze ombwe
 
Mkuu hawa akina bulembo na nape wanazidi kuonesha walishuriki na kuratibu kifo cha Dkt Magufuli. Kauli zao zinaashiria walishiriki hata kutaka kumuua Lisu, pia ndiyo hawa Mbowe wanataka afungwe, ndiyo hawa hawa wanamzunguka mama kuwa ni wakuja wanataka asifike 2025 ili wachukue nchi. Ni kundi hatari halipaswi kunyamaziwa.
Sikuwahi kuwaza hivi, Asante sana mwana CCM, kwahio kumbe "Magu aliuwawa na Wana CCM?" Na kwamba CCM Kuna kundi hatari?
 
Kuna Mwananchi kamwaga Mafuta kwenye moto, unazidi kusambaa chini kwa chini.

Kila Kuni inataja "zambi" za mwenzie... Huenda week ijayo Ikawa shubiri kwa baadhi ya "wahanga".

Je ni Nini hatma ya "Wahamiaji"? Watawapaje hifadhi wakati moto unawaka nyumba nzima??

Kuna moto huko....
Wahamiaji waliletwa na mvua za masika,so 2025 wakatafute pa kulima Shamba limerudi kwa wenyewe.
Wabunge wa Magufuli wote mwisho wa 2025
 
Back
Top Bottom