I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
😂😂Kula wewe ufaidi na uteseke kwa constipation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Kula wewe ufaidi na uteseke kwa constipation
Huwezi kumchafua Polepole bila kumchafua MaguCcm wanamuogopa sana Polepole maana wakimchefua anatoa siri ya wabunge wale covid 19
Magu tayari alishajipumzikia kuzimuHuwezi kumchafua Polepole bila kumchafua Magu
Zimamoto wamechoka Kila wakizima jamaa wanawasha tenaKwani zimamoto umewapigia simu?
Wanatafuta Kiki tu ili kutusahaulisha kesi ya Mbowe Jtatu. Hatudanganyiki hao mafatakiKuna Mwananchi kamwaga Mafuta kwenye moto, unazidi kusambaa chini kwa chini.
Kila Kuni inataja "zambi" za mwenzie... Huenda week ijayo Ikawa shubiri kwa baadhi ya "wahanga".
Je ni Nini hatma ya "Wahamiaji"? Watawapaje hifadhi wakati moto unawaka nyumba nzima??
Kuna moto huko....
Ampangaua madude hapo yeye mwenyewe anataka kuamnisha watu eti kavamiwa.😅😅😅😅
Ni haramia mwenzao. Wanajuana ndio maana hawawezi mfanya kituCcm wanamuogopa sana Polepole maana wakimchefua anatoa siri ya wabunge wale covid 19
Mangula huyu huyu mkuu?...yule mzee mi ndio nilimsoma vizuri alipo kufa magu Yale maneno yake.Hizi fisi zinaparuana kweri-kweri
👇
"Najiuliza Mzee Philip Mangula yupo wapi kwa hili linaloendelea kwa Polepole? Kama aliweza kuwahoji makatibu wakuu Wazee Makamba na Kinana, ameshindwa nini kwa Polepole? Naamini, Polepole analo jambo na ukitaka kufanya jambo, usiseme nishikeni nisipigane, wewe pigana tu" - Bulembo
Aibu kwa uongozi wa sasa. Mshindane kwa hoja sio viroja. yaani Tanzania inabadilika kwa kila raia kuwa na ''private security'' Aibu, fisi wako mitaani ili tu wale keki ya taifa peke yao.
Ahojiwe mara ngapiHizi fisi zinaparuana kweri-kweri
[emoji116]
"Najiuliza Mzee Philip Mangula yupo wapi kwa hili linaloendelea kwa Polepole? Kama aliweza kuwahoji makatibu wakuu Wazee Makamba na Kinana, ameshindwa nini kwa Polepole? Naamini, Polepole analo jambo na ukitaka kufanya jambo, usiseme nishikeni nisipigane, wewe pigana tu" - Bulembo
Mkuu hawa akina bulembo na nape wanazidi kuonesha walishuriki na kuratibu kifo cha Dkt Magufuli. Kauli zao zinaashiria walishiriki hata kutaka kumuua Lisu, pia ndiyo hawa Mbowe wanataka afungwe, ndiyo hawa hawa wanamzunguka mama kuwa ni wakuja wanataka asifike 2025 ili wachukue nchi. Ni kundi hatari halipaswi kunyamaziwa.Kuna Mwananchi kamwaga Mafuta kwenye moto, unazidi kusambaa chini kwa chini.
Kila Kuni inataja "zambi" za mwenzie... Huenda week ijayo Ikawa shubiri kwa baadhi ya "wahanga".
Je ni Nini hatma ya "Wahamiaji"? Watawapaje hifadhi wakati moto unawaka nyumba nzima??
Kuna moto huko....
Tuombe Mungu.
SahihiNi haramia mwenzao. Wanajuana ndio maana hawawezi mfanya kitu
Ndiyo maana ealiwanunua waliokubali kununuliwa kutoka upinzani ili wapunguze ombweKweli CCM wameishiwa think tank, yaani mtu anatoka CUF na kwenda moja kwa moja kuwa katibu Mkuu wa CCM!
Ndiyo sababu Prof. Lipumba alisema "CCM kwisha kabisa, kifo cha mende"
Sikuwahi kuwaza hivi, Asante sana mwana CCM, kwahio kumbe "Magu aliuwawa na Wana CCM?" Na kwamba CCM Kuna kundi hatari?Mkuu hawa akina bulembo na nape wanazidi kuonesha walishuriki na kuratibu kifo cha Dkt Magufuli. Kauli zao zinaashiria walishiriki hata kutaka kumuua Lisu, pia ndiyo hawa Mbowe wanataka afungwe, ndiyo hawa hawa wanamzunguka mama kuwa ni wakuja wanataka asifike 2025 ili wachukue nchi. Ni kundi hatari halipaswi kunyamaziwa.
Wahamiaji waliletwa na mvua za masika,so 2025 wakatafute pa kulima Shamba limerudi kwa wenyewe.Kuna Mwananchi kamwaga Mafuta kwenye moto, unazidi kusambaa chini kwa chini.
Kila Kuni inataja "zambi" za mwenzie... Huenda week ijayo Ikawa shubiri kwa baadhi ya "wahanga".
Je ni Nini hatma ya "Wahamiaji"? Watawapaje hifadhi wakati moto unawaka nyumba nzima??
Kuna moto huko....