Faru Tobbi
Senior Member
- Oct 29, 2018
- 195
- 201
Hata hivyo age imeenda mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kimekuchekesha?Mogul??
Hahahahahaaa
Kweli unamfahamu, babu yake ni muwanji amezikwa igawiloHizo mvi ni za Ukoo; hereditary upande wa baba yake ,Jackson Twissa. Babu yake Kelvin , marehemu mzee TWISSA MWAKIKOSA alikuwa na mvi za namna hiyo!!
Bongo ukiwa mzee ni kama dhambi flani hivi..ndio maana wasanii wengi daily ni kujidogeshaMimi nimeanza kuota mvi nikiwa na miaka 22 tu washikaji wakawa wananiita mzee, sishangai huyu jamaa naye kuitwa Mze.
Yaani mimi na wasanii wa kibongo ni kama mavi na maji ya kuchamba, yaani wako fake kinoma na hata maisha yao ni ya kuigiza tu na ndiyo maana kila kukicha ni kujiuza tu hapa mjini.Bongo ukiwa mzee ni kama dhambi flani hivi..ndio maana wasanii wengi daily ni kujidogesha
Early 50s...
😆🤣Hivi huyo mzee nae ni wa mapiko?
Nilimuona last year kwenye event flani kama panelist, ni kweli kaenda age kiasi ila ni kawaida kuona kabadilika maana jamaa sio celebrity kwa hiyo kumuona kwa media ni nadra.Picha tu hiyo. Mbona blaza bado anang'aa. Na ndevu nyeupe siku hizi ni bonge la swagga la fashion ya uanaume. Wanaita Golden Young.
Ndugu Kassim anaongoza wengine wanafuataNdiyo maana mimi napaka blacky kama Bernad Membe.
Kweli unamfahamu, babu yake ni muwanji amezikwa igawilo