[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimeanza kuota mvi nikiwa na miaka 22 tu washikaji wakawa wananiita mzee, sishangai huyu jamaa naye kuitwa Mze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu Kassim anaongoza wengine wanafuata
Nilichokiona kwa mtoa mada ni ushamba tu kwani Twissa wa leo
Kwa vigezo vyako unahisi mjini ni wapi?Kama kafika mjini kusoma tu chuo twissa wa voda atamjulia wapi sasa
Umemsahau na Majaliwa Kasim, hahaha anatinga blacky balaaNdiyo maana mimi napaka blacky kama Bernad Membe.
Ndugu Kassim anaongoza wengine wanafuata
Ndio ndio kuna wajukuu zake flan hivi ni madon kuliko hata huyo calvinBabu yake alikuwa ni mmoja wa matajiri wa kwanza mjini Mbeya , makao yake yalikuwa pale MABATINI!
Ndio ndio kuna wajukuu zake flan hivi ni madon kuliko hata huyo calvin
Hapo ongeza 10,hata babu Onyango ana miaka 23 lakini sura inamsaliti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah weeHapo ongeza 10,hata babu Onyango ana miaka 23 lakini sura inamsaliti
Ukishakua na pesa mingi vyuma grade a vinamwagika tuIla huyu Mwamba kitu nilimweshimu enzi zile kabla ya Utawala wa Giza, ni alijua kuzichakata Mbususu za Grade A+.. Vile vyombo mpaka nikawa najiuliza anaviokotaga wapi Walahi..!
Utawala Wa Giza ulipoingia tu Ramani zetu na huyu Mwamba zikaanza kupotea..
Word ! umenikumbusha hii kauli anaipenda jamaa mmoja alikuwa anaitwa Leo MasesaOld age is a privilege which is denied to many.
Au hawajui kama pia ni professional DjHao tunawapa mifano ya voda hata hatusemi kama mwamba kapiga kitabu USA, tritel, mobitel simu ni motorola mkonga na enzi hizo simu ya mkononi tunasrma jamaa kafanikiwa anamiliki mobitel yake
Yap kipindi cha nyuma twissa lazm ukutane nae kwenye magazeti au tv akipromote kitu flan matangazo barabaran mapya kila leokipindi hicho kazi za marketing zilikuwa celebrated, ideas za matangazo kali zilikuwa deals sana, na industry ya advertisement ilikuwa juu sana
Igawilo darajani pale ndo kwa babu yakeKumbe ni wa mbeya?