Toka Diamond atoke kimuziki hakuna mwaka haujapita bila msanii mwenzie yeyote kumlalamikia either anawaroga na kuwaibia nyota au anawafanyia figusu wasiendelee kimziki.
Wasanii kama Qchilla, mavoko, ommy dimpoz, tunda man, alikiba, nandy, aslay, Professor jay, darassa, harmonize etc wote wamemlalamikia kwa mambo hayo
Je, unahisi ni kwamba wote wanamsingizia au wote wana chuki nae binafsi au kweli ndo mambo yake kuiba nyota za wenzie?
Wasanii kama Qchilla, mavoko, ommy dimpoz, tunda man, alikiba, nandy, aslay, Professor jay, darassa, harmonize etc wote wamemlalamikia kwa mambo hayo
Je, unahisi ni kwamba wote wanamsingizia au wote wana chuki nae binafsi au kweli ndo mambo yake kuiba nyota za wenzie?