saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Huku Kikatiti umeme ulikatwa asubuhi na kurudishwa saa 12 jioni. Saa 1 na nusu wameukata tena. Kwanini mwatunyanyasa hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mgao umekwisha ila kinachotokea sasa ni kukatika tu kwa umeme ili kutoa oili chafu kwenye mitambo ili mwanga uwe mpevu zaidi.Huku Kikatiti umeme ulikatwa asubuhi na kurudishwa saa 12 jioni. Saa 1 na nusu wameukata tena. Kwanini mwatunyanyasa hivi?
Mh Samia asipokuwa makini,ataendelea kuhujumiwa hadi basi!Huku Kikatiti umeme ulikatwa asubuhi na kurudishwa saa 12 jioni. Saa 1 na nusu wameukata tena. Kwanini mwatunyanyasa hivi?