Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Lindi iko mwambao wa pwani(Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji), ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii), ina makumbusho ya majengo ya kale ambayo pia ni utalii wa kihistoria, bado ina ardhi na vinginevyo!

Mkoa wa Lindi una wilaya sita (6)
1-Kilwa
2-Lindi mjini
3-Mtama
4-Ruangwa
5-Nachingwea
6-Liwale

1. Kilwa ni wilaya iliopo mwambao wa bahari.
Wilaya hii ni maarufu kwa magofu ya zamani, uvuvi na biashara.

Licha ya kuwa ni mji mkongwe zaidi Tanzania na wenye uwingi wa historia ya kale lakini bado ni sehemu inayopokea watalii wachache sana ukilinganisha na miji kongwe kama Bagamoyo na Zanzibar

1659012465703.png
 
Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori.. mji umejaa umwinyi sana na kurogana.. kiufupi wakazi hasa Lindi mjini ni watu wa ndumba sana.

Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda DSM kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.

Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yaani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.

Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilimali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini.. maji safi tatizo umeme nao tatizo.

Wajanja wanapata hela sana Lindi kwa maana ya mazao kama ufuta, korosho, mbaazi n.k.

Karibu sana Lindi Ruangwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori..mji umejaa umwinyi sana na kurogana..kiufupi wakazi hasa lindi mjini ni watu wa ndumba sana.
Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda dsm kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.

Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.

Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilmali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini..maji safi tatizo umeme nao tatizo.

Wajanja wanapata hela sana lindi kwa maana ya mazao kama ufuta,korosho,mbaazi n.k.

Karibu sana lindi ruangwa.

#MaendeleoHayanaChama

Ebu tupia picha ya Lindi mjini tupaone
 
Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori..mji umejaa umwinyi sana na kurogana..kiufupi wakazi hasa lindi mjini ni watu wa ndumba sana.
Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda dsm kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.

Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.

Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilmali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini..maji safi tatizo umeme nao tatizo.

Wajanja wanapata hela sana lindi kwa maana ya mazao kama ufuta,korosho,mbaazi n.k.

Karibu sana lindi ruangwa.

#MaendeleoHayanaChama
Tatizo sio promotion wala sio sababu nyingine, hapo chanzo ni idadi ndogo ya wakazi, Lindi imezungukwa na miji iliyowekezwa zaidi kuliko yenyewe, Lindi iko karibu na Dar es Salaam, pia karibu na Mtwara miji ambayo ina uwekezaji mkubwa, hiyo inafanya vijana wa Lindi kuhamia huko, sio kwasababu Lindi hapafai, la hasha, ni kwasababu za kiushindani kuwa miji mingine ina mvuto zaidi watu kuhamia.

Hakuna mji unaokuwa kwa promotion hasa kwetu Afrika. Miji inakuwa kwasababu za kiasili kuwa ina uwekezaji mkubwa ndani yake.

Dar ni obvious ina uwekezaji toka zamani, Mtwara inatiliwa mkazo na Serikali, ndio maana inakuwa kuliko Lindi.
 
Kuna miji ina location nzuri inayofanya miji hiyo ikue bila kutumia nguvu, miji kama Morogoro, yaani yenyewe naturally tu inakuwa mikubwa hata kama hakuna uwekezaji wa makusudi. Lindi ishu kubwa ni location ilipo, idadi ndogo ya wakazi hayo mambo yanafanya wawekezaji wasishawishike sana kwenda.
 
Tatizo sio promotion wala sio sababu nyengine, hapo chanzo ni idadi ndogo ya wakazi, Lindi imezungukwa na miji iliyowekezwa zaidi kuliko yenyewe, Lindi iko karibu na Dar es Salaam, pia karibu na Mtwara miji ambayo ina uwekezaji mkubwa, hiyo inafanya vijana wa Lindi kuhamia huko, sio kwasababu Lindi hapafai, la hasha, ni kwasababu za kiushindani kuwa miji mingine ina mvuto zaidi watu kuhamia,

Hakuna mji unaokuwa kwa promotion hasa kwetu Afrika. Miji inakuwa kwasababu za kiasili kuwa ina uwekezaji mkubwa ndani yake.

Dar ni obvious ina uwekezaji toka zamani, Mtwara inatiliwa mkazo na serikali, ndio maana inakuwa kuliko Lindi,

Mbona Moro uko katikati ya Dodoma na Dar lakini uko vizuri
 
IMG_4109.jpg

IMG_4108.jpg

IMG_4107.jpg

IMG_4106.jpg

Mkuu ukiongelea Location mi nakataa
kwasababu:
-Lindi iko mwambao wa pwani (Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji)
-Lindi ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii)
-Lindi ina makumbusho ya majengo ya kale nayo pia utalii wa kihistoria
-Bado ina ardhi na vinginevyo

Huwezi fananisha na mji kama Iringa au Sumbawanga ambayo ni landlocked.
 
Tuwe wawazi tu tatizo ni umwinyi na uchawi hapo Lindi. Sehemu yeyote ambako uchawi umetamalaki hainaga maendeleo.

Watu hawavutiwi kuja sababu mji hauna hamasa za kiuwekezaji. Asilimia kubwa ya wana Lindi wana kipato cha hand to mouth. Sasa nani atapeleka hela huko?
 
Tuwe wawazi tu tatizo ni umwinyi na uchawi hapo Lindi. Sehemu yeyote ambako uchawi umetamalaki hainaga maendeleo.

Watu hawavutiwi kuja sababu mji hauna hamasa za kiuwekezaji.Asilimia kubwa ya wana Lindi wana kipato cha hand to mouth. Sasa nani atapeleka hela huko?
Sure!
Maisha Lindi ni very expensive sana, Kuna miaka niliishi hapo nikauliza wenyeji mbona vitu ni way too expensive? wakanijibu

"Huku kitu Cha bei rahisi ni chumvi na mwananke" 🤣🤣
 
Back
Top Bottom