Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

View attachment 2306268
View attachment 2306269
View attachment 2306270
View attachment 2306271
Mkuu ukiongelea Location mi nakataa
kwasababu:
-Lindi iko mwambao wa pwani (Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji)
-Lindi ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii)
-Lindi ina makumbusho ya majengo ya kale nayo pia utalii wa kihistoria
-Bado ina ardhi na vinginevyo

Huwezi fananisha na mji kama Iringa au Sumbawanga ambayo ni landlocked.
Yeah wako na beach mzuri sana hawa jamaa
 
Back
Top Bottom