Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Songea sahivi ndo inabadilika na kuwa kisasaa.Karibuni Lindi karibuni mtwara karibuni masasi karibuni tunduru laribuni songea karibuni mbinga.View attachment 2336940
Yeah inkua ya kisasa SanaSongea sahivi ndo inabadilika na kuwa kisasaa.
Ushawaza mambao yani watu wafupi alafu weusi kutoka Njombe sijui mkojeHayo mapori ndio mazuri unless yawe ni mapori tengefu.
Ukumbuke kuwa ukubwa wa eneo la Lindi ni mara mbili ya MtwaraLindi ilipaswa kuwa sehemu ya mkoa wa Mtwara kama wilaya tu. Hii mikoa ugawanyaji wake sijui umezingatia nini.
Mbona masasi inakua mbona bagamoyo inakua hiyo sio sababu ya msingi ,tanga iko karibu na dar kuliko lindi lakini sku izi mji unakua
Lindi ilipaswa kuwa sehemu ya mkoa wa Mtwara kama wilaya tu. Hii mikoa ugawanyaji wake sijui umezingatia nini.
Nimemzoom huyo Mjusi
Nimemzoom huyo Mjusi
hahahaaaa mwana LindiHebu acha kuropoka, hiyo laana katoa babu yako
huo ndo mwanya magaid hutumia , soon tutakuwa cabo delgadoVeta ipo mwanzo kabisa ukiwa unaingia mjini..pia kuna chuo cha matabibu.
Hakuna tawi la chuo kikuu.
#MaendeleoHayanaChama
Alionekana au walikuwepo wanapatikana Lindi..ushahidi ni mabaki/ fuvu ambalo lilichukuliwa na Wajerumani na limewekwa kwenye makumbusho huko kwao na kuwaongezea utalii.Kwann donasors ndo nembo ya uko
Mh mji huu huu wa lindi niujuao mimi au mwingine ? Mji umepooza mno sioni hata nyumba za kisasaLindi inaeneo kubwa sana mkuu,,, kuliko hata mtwara yenyewe
Anamaanisha mkoa wote kwa ujumla.Mh mji huu huu wa lindi niujuao mimi au mwingine ? Mji umepooza mno sioni hata nyumba za kisasa
huo ndo mwanya magaid hutumia , soon tutakuwa cabo delgado
Alionekana au walikuwepo wanapatikana Lindi..ushahidi ni mabaki/ fuvu ambalo lilichukuliwa na Wajerumani na limewekwa kwenye makumbusho huko kwao na kuwaongezea utalii.
Kwa muda mrefu watu wa Lindi wamekuwa wakidai fuvu hilo kurejeshwa nchini.
Mh mji huu huu wa lindi niujuao mimi au mwingine ? Mji umepooza mno sioni hata nyumba za kisasa