Bora wawe wanachukua mgao...Sasa likirejeshwa watalifaidia nini wakati hata hizo museums za kitaifa zinategemea wafadhili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wawe wanachukua mgao...Sasa likirejeshwa watalifaidia nini wakati hata hizo museums za kitaifa zinategemea wafadhili.
🤣🤣🤣🤣Wewe ni wa wapi!
Sawa mkuu, kwa sababu umeongea huku Jesus akiwa karibu hapo anakusikia, mimi sina neno.uchawi na ulozi unai cost sana Lindi.
mkoa unaoongoza kwa kuwa na nguvu za giza Tz, watajuta wasipobadilika.
JESUS IS LORD&SAVIOR
My mom alisoma utabibu hapo muda sana.Veta ipo mwanzo kabisa ukiwa unaingia mjini..pia kuna chuo cha matabibu.
Hakuna tawi la chuo kikuu.
#MaendeleoHayanaChama
Lindi kuna Tawi la Open University, tena lipo barabarani kabisaVeta ipo mwanzo kabisa ukiwa unaingia mjini..pia kuna chuo cha matabibu.
Hakuna tawi la chuo kikuu.
#MaendeleoHayanaChama
Ulikuwa umeshazaliwa?My mom alisoma utabibu hapo muda sana.
Rkn waligonga mwamba...Mzee magufuli alipigwa tukio mkoani lindi hii yote ni kutokana na kauli ya dharau na kiburi aliyokaitoa juu ya sisi watu wa kusini
kwani lengo la babu zangu ulilijua mpaka useme walifeli?Rkn waligonga mwamba...
Ilikuwa badoUlikuwa umeshazaliwa?
"Jesus" the name above all names!Sawa mkuu, kwa sababu umeongea huku Jesus akiwa karibu hapo anakusikia, mimi sina neno.
Kuna O.U.T tuVeta ipo mwanzo kabisa ukiwa unaingia mjini..pia kuna chuo cha matabibu.
Hakuna tawi la chuo kikuu.
#MaendeleoHayanaChama
AaaahaaaSure!
Maisha Lindi ni very expensive sana, Kuna miaka niliishi hapo nikauliza wenyeji mbona vitu ni way too expensive? wakanijibu
"Huku kitu Cha bei rahisi ni chumvi na mwananke" 🤣🤣
Umeenda mbali, Tanga tu hapo juzi nmeambiwa Lindi ipo mtwara nikashangaaUkienda Mwanza ,Kahama ,Arusha na hta Moshi kuna watu hawajui kuna mkoa wa Lindi sjui watu wake hawatembei.