jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hapo ndio city centre.Yaani kama hapo ni mjini lind basi pa hovyo
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio city centre.Yaani kama hapo ni mjini lind basi pa hovyo
Sasa unacheka nini...
Ingawa hiyo picha ni ya zamani sana...lakin hilo swala sio la kucheka...
Tazama hii video ujue kwa nini Bukoba inakuwa hivyo...huyu foreigner kaelezea vizuri na upumbavu wa serikali yetu kwenye maendeleo ya bukoba..
Ndio njia fupi kuliko kupitia njombe..na pia haina milima mikali.Samahani njia ya kwenda Songea lazima upite Lindi mkuu. Mfano Dar Songea Via Lindi
Ina lami ama ni changarawe?Ndio njia fupi kuliko kupitia njombe..na pia haina milima mikali.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ata mm nilisikia ivyoo manaa ata bagamoyo si ya kuwa ivi ilivyoo Ila naamini miaka ijayo mambo yatabadilika Kama wasukuma wameahaingia Lindi basi maendeleo yataoneknaa maeneo yenye wafugaji wakisukuma wanazijua sana fursa has kulima biasharaIshu ya kiroho zaidi pana mtu aliielezea hii. Mikoa yote iliyofanyika matambiko ya kuitambikia nchi wasahau kuhusu maendeleo
Kwa hiyo bila kuingia Wasukuma, nyie wenyewe hamuwezi?Ata mm nilisikia ivyoo manaa ata bagamoyo si ya kuwa ivi ilivyoo Ila naamini miaka ijayo mambo yatabadilika Kama wasukuma wameahaingia Lindi basi maendeleo yataoneknaa maeneo yenye wafugaji wakisukuma wanazijua sana fursa has kulima biashara
Umeandika nini? Mbona umeandika hovyo hovyo?Nimekaa Lindi 1988, ni mji ulio,imika kama lindi la choo, huu mkoa ulikataliwa ktk ulimwengu wa roho. Ardhi yake ina laana.
Sikupingi mkuu extrovert.Tuwe wawazi tu tatizo ni umwinyi na uchawi hapo Lindi. Sehemu yeyote ambako uchawi umetamalaki hainaga maendeleo.
Watu hawavutiwi kuja sababu mji hauna hamasa za kiuwekezaji. Asilimia kubwa ya wana Lindi wana kipato cha hand to mouth. Sasa nani atapeleka hela huko?
Wote muwe sawa?[emoji23][emoji23]Kigoma nako hakuwezi kuendelea kwa style yao ya kuvimbiana kiulozi. Sehemu ambayo haina muingiliano sana wa makabila ni ngumu sana kuendelea. Watu wanakatana mikia yani kutoboa lazima uwe alwatani wa ulozi [emoji23][emoji23][emoji23] kila mmoja hataki utoboe wote muwe sawa tu
Lami moja kwamoja from dsm to lindi to masasi to songea.Ina lami ama ni changarawe?
Wewe ni wa wapi!Sasa mkuu hapo lindi unafanya starehe gani au kulala oceanic, kunywa bia Paris club au kugonga waarabu koko, nimefanya kazi za field lindi na Mtwara, aiseee sina la kusema zaidi
Masahihisho!! Njombe ndio njia yenye milima mingi, ila ndio njia fupi kwenda songeaNdio njia fupi kuliko kupitia njombe..na pia haina milima mikali.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama tanga.naskia kuna wazee walimuita mkuu wakamwambia ruka hapa ,baada ya kuruka mkolon amekwisha.ndioo unamaanisha hio? Au wakina mzee komwe wakomweIshu ya kiroho zaidi pana mtu aliielezea hii. Mikoa yote iliyofanyika matambiko ya kuitambikia nchi wasahau kuhusu maendeleo
Wewe mnyakyusaBila kusahau maji ya chumvi mwili unanata utafikir umepaka ulimbo hata ulale guest ya elf40 hali iyoiyo, Lindi [emoji120]
Nimemzoom huyo MjusiKaribuni Lindi karibuni mtwara karibuni masasi karibuni tunduru laribuni songea karibuni mbinga.View attachment 2336940