Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mbona Moro uko katikati ya Dodoma na Dar lakini uko vizuri
what something special do Lindi Offer in between? kama mkoa hauna inachoprovide automatically huo mkoa hauwezi kuwa popular maana mafanikio huja kwa kuzingatia kiwango cha nguvu ya sumaku ya vivutio vilivyopo mwisho wa kunukuu.
 
Watanzania sisi ni washamba sana na malimbukeni na tusiojielewa; hivi tz hii ukiacha Dar kuna wapi kwingine kulikoendelea kiasi cha mtu kukesha akiponda sehemu nyingine?!!!!!!

Hivi makelele haya ninayoyaona ni ya watu kutoka sehemu hizi hizi za tz nilizotembelea na mimi au zingine?!!!!

Mikoa nane (8) ya nchi hii niliyowahi kufika na kuishi inanifanya nicheke sana baadhi ya commentsi humu.......
 
View attachment 2306268
View attachment 2306269
View attachment 2306270
View attachment 2306271
Mkuu ukiongelea Location mi nakataa
kwasababu:
-Lindi iko mwambao wa pwani (Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji)
-Lindi ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii)
-Lindi ina makumbusho ya majengo ya kale nayo pia utalii wa kihistoria
-Bado ina ardhi na vinginevyo

Huwezi fananisha na mji kama Iringa au Sumbawanga ambayo ni landlocked.
Ni viongozi kukosa maono (vision),ubinafsi,kuendekeza siasa , kulalamika ,kufuatilia maisha ya watu badala ya kufikiria na kuwa wabunifu:
1.Mji wa Lindi unapaswa kuwa na Bandari
2.Lindi ina beach nzuri zafaa kuwa na hotel za kitalii.
3.Michezo ya mbio za boti baharini zaweza kutangazwa na kufanyika Lindi na watalii wakaja na kuwepo mzunguko wa pesa.
4.Sijui hata kama maeneo ya uwekezaji yameanishwa na kama Mkoa wanatangaza fursa zilizopo Lindi.
 
Watanzania sisi ni washamba sana na malimbukeni na tusiojielewa; hivi tz hii ukiacha Dar kuna wapi kwingine kulikoendelea kiasi cha mtu kukesha akiponda sehemu nyingine?!!!!!!

Hivi makelele haya ninayoyaona ni ya watu kutoka sehemu hizi hizi za tz nilizotembelea na mimi au zingine?!!!!

Mikoa nane (8) ya nchi hii niliyowahi kufika na kuishi inanifanya nicheke sana baadhi ya commentsi humu.......
Mikoa nane uliyotembea ni michache sana kwako kuijadili lindi
Nimetembea Tanzania yote kila mkoa , ni wilaya baadhi tu sijafika na nyingi ni hizi mpya ,
Lindi pamedorora , na maisha yake kama mtwara tu ni ghali ! Nimelala Guest house ya 25000 lindi , kitanda ni 4x6 na hakina neti maji ni ya kuchota na ndoo, tv ya chogo., hii sio miaka ya 90, ni juzi tu hapa zimepita siku 9 tu
 
Watanzania sisi ni washamba sana na malimbukeni na tusiojielewa; hivi tz hii ukiacha Dar kuna wapi kwingine kulikoendelea kiasi cha mtu kukesha akiponda sehemu nyingine?!!!!!!

Hivi makelele haya ninayoyaona ni ya watu kutoka sehemu hizi hizi za tz nilizotembelea na mimi au zingine?!!!!

Mikoa nane (8) ya nchi hii niliyowahi kufika na kuishi inanifanya nicheke sana baadhi ya commentsi humu.......
Kweli mambo ya msingi yanayoweza kuipa miji hadhi hayafanyiki:
Mfano Miji mingi tuliyonayo mipango miji(master plan) sio kipaumbele hata kupanda miti tu tunashindwa kupanda, kuongeza barabara za lami zinazounganisha Wilaya katika Mikoa husika ni mipango ambayo haizungumzwi(Kama nchi imefunguliwa kibiashara,inatakiwa iende sambamba na kufungulia barabara kwa kuwekewa lami).
 
Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori.. mji umejaa umwinyi sana na kurogana.. kiufupi wakazi hasa lindi mjini ni watu wa ndumba sana.

Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda DSM kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.

Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yaani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.

Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilimali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini.. maji safi tatizo umeme nao tatizo.

Wajanja wanapata hela sana Lindi kwa maana ya mazao kama ufuta, korosho, mbaazi n.k.

Karibu sana Lindi Ruangwa.

#MaendeleoHayanaChama
Ruangwa eneo ambako mke wangu ameajiriwa huko
 
View attachment 2306268
View attachment 2306269
View attachment 2306270
View attachment 2306271
Mkuu ukiongelea Location mi nakataa
kwasababu:
-Lindi iko mwambao wa pwani (Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji)
-Lindi ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii)
-Lindi ina makumbusho ya majengo ya kale nayo pia utalii wa kihistoria
-Bado ina ardhi na vinginevyo

Huwezi fananisha na mji kama Iringa au Sumbawanga ambayo ni landlocked.
Sumbawanga wao wamejukita sana katika kilimo mkuu ndio shughuli yao kubwa ya kiuchumi mkuu......

Pia ukilinganisha na iringa kama unavosema kumbuka iringa katika wilaya ya mufindi mji wa mafinga wao ndio wanaongoza kwa production ya mbao Tanzanian nzima unaambiwa 75% ya mbao if I'm not mistaken yatoka kwao....huwezi compare na Lindi ambayo pia ndio ina bahari as you claim kuwa inaweza kuwa chanzo cha mapato kama beach au Wenda hata kama bandari...lakini kumbuka kama anavyodai huyo mkuu aliyetangulia kuwa Lindi yazungukwa na Dar ea salaam na Mtwara Miji ambayo ina beaches nzuri na bandari nzuri kubwa luliko hata huko Lindi.....

Even if wakijenga bandari huko ngumu sana kuwa kubwa kama ya mtwara au Lindi

Issue ya morogoro kuwa mbona opo katikati ya Dar es salaam na Dodoma lakini inakuwa hali ya kuwa haipigiwi promotion Mimi nakataa....
Kuna miradi mingapi mikubwa ipo morogoro hali yakuwa Lindi haipo???

SGR imepita hadi Lindi pia????
 
Jambo ambalo wengi hawalijui maendeleo ya mkoa siku zote inatokana na 'promosheni' ya serikali kuelekeza miradi yote ya kimaendeleo katika mkoa husika,hivi katika hii nchi kuna mikoa yenye ukame na watu wake masikini katika hii nchi tofauti na Dodoma au singida? ila ona serikali imeelekeza miradi ya kimaendeleo katika hiyo mikoa leo inaonekana ya maana kuliko Lindi;Dodoma imehamishiwa serikali,kumejengwa vyuo vikubwa vingi...

Singida pia wamejenga ndaki nyingi za vyuo kama vile uhazili,chuo cha uhasibu n.k

Sasa nashangaa shoga mmoja anakuja hapa kulalama kwamba Lindi hawana barabara nzuri mara ooh sijui Lindi pakame, mara hawana chuo,sijui mzunguko wa hela mdogo sasa hayo yote ni wajibu wa raia au serikali?


Matumaini yangu: kama serikali itaipa Lindi kipau mbele kwa kuipelekea miradi ya kimaendeleo kama vile bandari,vyuo,na miradi mingine mingi ya kimaendeleo basi itapiga hatua kubwa mno kwani fursa zipo nyingi sana katika huu mkoa.


Watu wa bara mnatusumbua sana ila huku kwenu hakuna jipya,uchawi upo,roho mbaya,kuuana hovyo ndugu zenu hawataki kusoma bali wamekalia kuchunga mifugo na kuolewa mapema.Hadi wa leo mnafanya barter trade yani unapata mke kwa ng'ombe au mbuzi kadhaa.[emoji23]
#mafwalanyinyi!
Mkoa wa Lindi mlishakwama, usijifariji.
 
Watanzania sisi ni washamba sana na malimbukeni na tusiojielewa; hivi tz hii ukiacha Dar kuna wapi kwingine kulikoendelea kiasi cha mtu kukesha akiponda sehemu nyingine?!!!!!!

Hivi makelele haya ninayoyaona ni ya watu kutoka sehemu hizi hizi za tz nilizotembelea na mimi au zingine?!!!!

Mikoa nane (8) ya nchi hii niliyowahi kufika na kuishi inanifanya nicheke sana baadhi ya commentsi humu.......
Mkuu "Sijaona" najua kwenu Lindi. Lakini huo ndio ukweli. Acha usemwe.
 
Kuna miji ina location nzuri inayofanya miji hiyo ikue bila kutumia nguvu, miji kama Morogoro, yaani yenyewe naturally tu inakuwa mikubwa hata kama hakuna uwekezaji wa makusudi. Lindi ishu kubwa ni location ilipo, idadi ndogo ya wakazi hayo mambo yanafanya wawekezaji wasishawishike sana kwenda.
Morogoro inakua yes, lakin taratibu mnoo. Sijui lini Morl itakua JIJI.
 
Mikoa nane uliyotembea ni michache sana kwako kuijadili lindi
Nimetembea Tanzania yote kila mkoa , ni wilaya baadhi tu sijafika na nyimgi ni hizi mpya ,
Lindi pamedorora , na maisha yake kama mtwara tu ni ghali ! Nimelala Guest house ya 25000 lindi , kitanda ni 4x6 na hakina neti maji ni ya kuchota na ndoo, tv ya chogo., hii sionmiaka ya 90, ni juzi tu hapa zimepita siku 9 tu
Lodge moja niliwahi kufikia huko miaka ya 2010's mwanzoni hapo,lodge maji hakuna wakatuonyesha maji yaliyotumika kufulia nguo wakasema yako hapo kwny hio ndoo mnaweza kuyaogea, nikasema tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Lindi iko mwambao wa pwani (Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji)
Lindi ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii)
Lindi ina makumbusho ya majengo ya kale nayo pia utalii wa kihistoria
Bado ina ardhi na vinginevyo

View attachment 2307018
Huku ndiko kwa kwenda kukamatia fursa ,ni mkoa mzuri Wilaya zake zote zina fursa ya kila aina..

Lindi yenyewe na Mafia kuna beaches za kuzidi hadi Zanzibar wakasome.
 
Back
Top Bottom