Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Nadhani pia Lindi inaongoza kwa ulozi na uchawi kwa mujibu wa takwimu za mwaka jana. Hiyo factor ina athari hasi kwa mkoa.
YESU NI KRISTO
YESU NI KRISTO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwananke naye anauzwa!!!!!🤔🤔🤔🤔Sure!
Maisha Lindi ni very expensive sana, Kuna miaka niliishi hapo nikauliza wenyeji mbona vitu ni way too expensive? wakanijibu
"Huku kitu Cha bei rahisi ni chumvi na mwananke" 🤣🤣
VETA ipo... umewahi kusikia chuo gani Lindi; hata VETA sina hakika kama ipo.
Siyo kweli. VETA ipo mwanzo mwanzo huku unaingia Lindi ukitokea Mchinga. Ipo karibu na airport. Mnazi mmoja Mingoyo iko kama 20km kutoka mjini kuelekea Mtwara.VETA ipo town, maeneo ya mnazi m1.
Santorini na AgapeYaah..lindi wana fukwe nzuri sana safi na zina vutia..ila ndio hivyo tena kumenyata sana.
#MaendeleoHayanaChama
Yale yale ya mji wa Kigoma?Tuwe wawazi tu tatizo ni umwinyi na uchawi hapo Lindi. Sehemu yeyote ambako uchawi umetamalaki hainaga maendeleo.
Watu hawavutiwi kuja sababu mji hauna hamasa za kiuwekezaji. Asilimia kubwa ya wana Lindi wana kipato cha hand to mouth. Sasa nani atapeleka hela huko?
Wana uchawi wa kuumizana na si wa maendeleo, ni mkoa wenye HUSDA, NA HUSDA ZITAWAMALIZA LABDA VIZEE VYOTE VIONDOKE KWANZA, KAMA ILIVYOKUWA YANGA.Lindi katika swala la Wizard sidhani kama kuna mkoa unafua dafu hata Sumbawanga haioni ndani. MZ wakati wa uhai wake alichezeshewa picha moja kali sana.
Watu wa huko simiyu sijui gambosi,watu wa huko kazula mimba,watu wa huko sumbawanga, wajita wa huko Tarime,watu wa huko misenyi kanyigo na watu wa huko Ngara tutawaweka kwenye kipengele gani maana huko kuna ulozi sii kawaida.Nadhani pia Lindi inaongoza kwa ulozi na uchawi kwa mujibu wa takwimu za mwaka jana. Hiyo factor ina athari hasi kwa mkoa.
YESU NI KRISTO
Vipi!? Stori za viuno feni zimekuvutia niini!?Ha ha imagine hapo ndo mjini...ila december napanga nifanye tour huko kusini..uzi nimeupenda.
Kuna binti kule Clouds 360, anaitwa Kija Yunusu, amajitaidi kuipaisha Lindi kila anapopata nafasi. Hongera zakeNilipita hapo na wenzangu,ajabu jioni tu tulifika tumetafuta chakula mjini pote hatukupata.
Nilishangaa sana.
Kuna msamaria alitupeleka NBC club nafkiri ndo kupata ugali nyamachoma mbayaaa na bei balaa.
Tarime kuna ulozi gani?Watu wa huko simiyu sijui gambosi,watu wa huko kazula mimba,watu wa huko sumbawanga, wajita wa huko Tarime,watu wa huko misenyi kanyigo na watu wa huko Ngara tutawaweka kwenye kipengele gani maana huko kuna ulozi sii kawaida.
Tarime kuna ulozi ga
Tarime kuna ulozi gani?