Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo ambalo wengi hawalijui maendeleo ya mkoa siku zote inatokana na 'promosheni' ya serikali kuelekeza miradi yote ya kimaendeleo katika mkoa husika,hivi katika hii nchi kuna mikoa yenye ukame na watu wake masikini katika hii nchi tofauti na Dodoma au singida? ila ona serikali imeelekeza miradi ya kimaendeleo katika hiyo mikoa leo inaonekana ya maana kuliko Lindi;Dodoma imehamishiwa serikali,kumejengwa vyuo vikubwa vingi...
Singida pia wamejenga ndaki nyingi za vyuo kama vile uhazili,chuo cha uhasibu n.k
Sasa nashangaa shoga mmoja anakuja hapa kulalama kwamba Lindi hawana barabara nzuri mara ooh sijui Lindi pakame, mara hawana chuo,sijui mzunguko wa hela mdogo sasa hayo yote ni wajibu wa raia au serikali?
Matumaini yangu: kama serikali itaipa Lindi kipau mbele kwa kuipelekea miradi ya kimaendeleo kama vile bandari,vyuo,na miradi mingine mingi ya kimaendeleo basi itapiga hatua kubwa mno kwani fursa zipo nyingi sana katika huu mkoa.
Watu wa bara mnatusumbua sana ila huku kwenu hakuna jipya,uchawi upo,roho mbaya,kuuana hovyo ndugu zenu hawataki kusoma bali wamekalia kuchunga mifugo na kuolewa mapema.Hadi wa leo mnafanya barter trade yani unapata mke kwa ng'ombe au mbuzi kadhaa.[emoji23]
#mafwalanyinyi!
Nilichogundua humu watu wengi hawajawahi hata kufika huko Lindi ila wanehadithiwa tu,Jambo ambalo wengi hawalijui maendeleo ya mkoa siku zote inatokana na 'promosheni' ya serikali kuelekeza miradi yote ya kimaendeleo katika mkoa husika,hivi katika hii nchi kuna mikoa yenye ukame na watu wake masikini katika hii nchi tofauti na Dodoma au singida? ila ona serikali imeelekeza miradi ya kimaendeleo katika hiyo mikoa leo inaonekana ya maana kuliko Lindi;Dodoma imehamishiwa serikali,kumejengwa vyuo vikubwa vingi...
Singida pia wamejenga ndaki nyingi za vyuo kama vile uhazili,chuo cha uhasibu n.k
Sasa nashangaa shoga mmoja anakuja hapa kulalama kwamba Lindi hawana barabara nzuri mara ooh sijui Lindi pakame, mara hawana chuo,sijui mzunguko wa hela mdogo sasa hayo yote ni wajibu wa raia au serikali?
Matumaini yangu: kama serikali itaipa Lindi kipau mbele kwa kuipelekea miradi ya kimaendeleo kama vile bandari,vyuo,na miradi mingine mingi ya kimaendeleo basi itapiga hatua kubwa mno kwani fursa zipo nyingi sana katika huu mkoa.
Watu wa bara mnatusumbua sana ila huku kwenu hakuna jipya,uchawi upo,roho mbaya,kuuana hovyo ndugu zenu hawataki kusoma bali wamekalia kuchunga mifugo na kuolewa mapema.Hadi wa leo mnafanya barter trade yani unapata mke kwa ng'ombe au mbuzi kadhaa.[emoji23]
#mafwalanyinyi!
Ipo sehem inaitwa Mitwero, mnazi mmoja ni pacha kwenda masasi na MtwaraVETA ipo town, maeneo ya mnazi m1.
Hahaa aiseeNasikia huko papuchi zinazungushwa kwenye ungo kama ndizi mbivu
Nadhani paragraph ya mwisho imeonyesha jinsi gani huna adabu na nidhamu na haikuwa na haja kuonyesha ujinga wako.Jambo ambalo wengi hawalijui maendeleo ya mkoa siku zote inatokana na 'promosheni' ya serikali kuelekeza miradi yote ya kimaendeleo katika mkoa husika,hivi katika hii nchi kuna mikoa yenye ukame na watu wake masikini katika hii nchi tofauti na Dodoma au singida? ila ona serikali imeelekeza miradi ya kimaendeleo katika hiyo mikoa leo inaonekana ya maana kuliko Lindi;Dodoma imehamishiwa serikali,kumejengwa vyuo vikubwa vingi...
Singida pia wamejenga ndaki nyingi za vyuo kama vile uhazili,chuo cha uhasibu n.k
Sasa nashangaa shoga mmoja anakuja hapa kulalama kwamba Lindi hawana barabara nzuri mara ooh sijui Lindi pakame, mara hawana chuo,sijui mzunguko wa hela mdogo sasa hayo yote ni wajibu wa raia au serikali?
Matumaini yangu: kama serikali itaipa Lindi kipau mbele kwa kuipelekea miradi ya kimaendeleo kama vile bandari,vyuo,na miradi mingine mingi ya kimaendeleo basi itapiga hatua kubwa mno kwani fursa zipo nyingi sana katika huu mkoa.
Watu wa bara mnatusumbua sana ila huku kwenu hakuna jipya,uchawi upo,roho mbaya,kuuana hovyo ndugu zenu hawataki kusoma bali wamekalia kuchunga mifugo na kuolewa mapema.Hadi wa leo mnafanya barter trade yani unapata mke kwa ng'ombe au mbuzi kadhaa.[emoji23]
#mafwalanyinyi!
Huwa wanakuja ila hupigwa ndumba na fitina na kukimbia hata miaka mitano wengine huwa hawafikishi wanasepa hata watumishi huwa hivyo hivyoWakazi wa Lindi siyo consumer wazuri wa bidhaa lakini pia mkoa huu una watu wachache sana. Hivyo hauwezi kuwa kuvutia kibiashara kwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza.
Lakini pia mkoa huu hauna mwingiliano wa wageni kutoka sehemu zingine hivyo population yake ni kama homogenous hivi haina kichocheo cha mabadiliko.
Kwa experience yangu mkoa wowote ukikuta hauna wachaga, wasukuma, wakinga, na waha ujue hauna fursa za kiuchumi.
Hayo makabila yanajua Kunusa fursa za uchumi kuliko panya Magawa Lindi haina hii sifa.
Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori.. mji umejaa umwinyi sana na kurogana.. kiufupi wakazi hasa lindi mjini ni watu wa ndumba sana.
Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda DSM kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.
Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yaani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.
Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilimali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini.. maji safi tatizo umeme nao tatizo.
Wajanja wanapata hela sana Lindi kwa maana ya mazao kama ufuta, korosho, mbaazi n.k.
Karibu sana Lindi Ruangwa.
#MaendeleoHayanaChama
Itakusaidia nini hapa duniani..hiyo niya huko huko akhera.Kuwa na elimu akhera ni tatizo?
Miji mingapi ina waislamu wengi na imeendelea, kila mji una Waislamu wengi kuliko hiyo Lindi, ishu ni uwekezaji tu, dini haina uhusiano na maendeleo, uwekezaji ndio una matterLindi kunawaislam wengi sana ndio maana
Mzee upo sahihi, Lindi bado kuna umwinyi sana...ukiwa mpambanaji Masasi panafaa sana maana pamechangamka kuliko hata Mtwara.Hapo ndio town kati.. Lindi kumepoa sana asee.. Kama mpambanaji bora ukaishi Masasi kuliko Lindi.
#MaendeleoHayanaChama
Hii picha ni soko dogo la wauza samaki pale feri, lakini pale pale pembeni kuna soko zuri hujapiga picha ,alafu unapost sana majengo ya zamani wakati kuna majengo makubwa na mazuri mengi hujataka kuyapiga pichaSoko la lindi!!..
Ina maana yale masoko ya kisasa yanayojengwa kila mkoa huku hamna
View attachment 2306512
View attachment 2306513