Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Wakazi wa Lindi siyo consumer wazuri wa bidhaa lakini pia mkoa huu una watu wachache sana. Hivyo hauwezi kuwa kuvutia kibiashara kwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza.

Lakini pia mkoa huu hauna mwingiliano wa wageni kutoka sehemu zingine hivyo population yake ni kama homogenous hivi haina kichocheo cha mabadiliko.

Kwa experience yangu mkoa wowote ukikuta hauna wachaga, wasukuma, wakinga, na waha ujue hauna fursa za kiuchumi.

Hayo makabila yanajua Kunusa fursa za uchumi kuliko panya Magawa Lindi haina hii sifa.

Hili ni kweli mkuu na ukitaka kujua umahiri wa mji, pita Tu mtaani uwaulize watafutaji ni mikoa ipi wanatamani kufika. Nina uhakika ni ngumu kuipata Lindi

Hata Mimi Lindi ni mkoa ambao hata kichwani haupo labda maisha yanipeleke. Ila kwa plan za kawaida Tu haipo.
 
Wakazi wa Lindi siyo consumer wazuri wa bidhaa lakini pia mkoa huu una watu wachache sana. Hivyo hauwezi kuwa kuvutia kibiashara kwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza.

Lakini pia mkoa huu hauna mwingiliano wa wageni kutoka sehemu zingine hivyo population yake ni kama homogenous hivi haina kichocheo cha mabadiliko.

Kwa experience yangu mkoa wowote ukikuta hauna wachaga, wasukuma, wakinga, na waha ujue hauna fursa za kiuchumi.

Hayo makabila yanajua Kunusa fursa za uchumi kuliko panya Magawa Lindi haina hii sifa.
Hata wapemba na wasomali na uswahili wao hawapapendi Lindi kwa waswahili.
 
Haijapewa kipaumbele...
Ikipewa kipaumbele kila kitu kitakaa sawa. Ahsante sana
Hili suala lipo mikoa yote ya pwani ya kusini..mtoto wa darasa la saba ni mtu mzima anayajua mengi..dawa za mpango wa uzazi wanakunywa kama panadol.
Wanaogopa kuongezeka na kuujaza mkoa wao?
Ndio maeneo ambapo hadi leo unyago unachezwa vilivyo.

#MaendeleoHayanaChama
Safi sana, wasiache mila na tamaduni zao,huku wakiangalia ni jinsi gani watautoa kidedea mkoa wao
Nalog off Z
 
Acheni dharau kwa Lindi.
MRADI WA LNG unaotarajia kuanza muda si mrefu ndio unakwenda kubadilisha kila kitu.
Rais kaamlisha Airport iboreshwe
Chuo cha masuala ya Gas kitajengwa
UDSM nao washachukua eneo na soon wanajenga
Chuo cha Masuala ya Mahakama
Open University
Eneo la viwanda Kutokana na MRADI wa LNG. N.k
Sasa wewe bweteka na kuidharau Lindi, wenzako wanakwenda Lindi kuchukua maeneo na kuwekeza
Baada ya Dar, soon Lindi ndio inakwenda kuwa na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi hapa Tanzania.
You know why? Huu MRADI wa LNG utajengwa km chache kutoka centre of the Town, hivyo mzunguko wa Pesa utaonekana Directly kwa wakazi wa hii Manispaa.
Jipe moyo.. hebu tujulishe ile gesi ya Mtwara ambayo tuliambia Mtwara itakuwa jiji kubwa Afrika mashariki kutokana na gesi kiko wapi sasa.

Ukuaji wa sehemu unachangizwa na mengi sana..sikatai ujenzi wa hivyo vyuo unaweza kuwa chachu..ila kuhusu gesi ambayo bomba litapita kuelekea dsm sahau kuhusu maendeleo ya lindi..kamaana tayari uzoefu tunao tangu ile ya mtwara inapigiwa upatu.

Kuhusu kumiliki ardhi lindi ni jambo jema kwa manufaa ya badae pia mana ardhi ni mali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakazi wa Lindi siyo consumer wazuri wa bidhaa lakini pia mkoa huu una watu wachache sana. Hivyo hauwezi kuwa kuvutia kibiashara kwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza.

Lakini pia mkoa huu hauna mwingiliano wa wageni kutoka sehemu zingine hivyo population yake ni kama homogenous hivi haina kichocheo cha mabadiliko.

Kwa experience yangu mkoa wowote ukikuta hauna wachaga, wasukuma, wakinga, na waha ujue hauna fursa za kiuchumi.

Hayo makabila yanajua Kunusa fursa za uchumi kuliko panya Magawa Lindi haina hii sifa.
Kuna uwekezaji sahv watu wamefanya huko

Fursa pia zipo

Ova
 
Hili ni kweli mkuu na ukitaka kujua umahiri wa mji, pita Tu mtaani uwaulize watafutaji ni mikoa ipi wanatamani kufika. Nina uhakika ni ngumu kuipata lindi

Hata Mimi lindi ni mkoa ambao hata kichwani haupo labda maisha yanipeleke. Ila kwa plan za kawaida Tu haipo
Hujapata fursa huko

Wengine sahvi lindi ndy base

Mwanzoni ilikuwa gairo kwangu

Kwa sasa majeshi nmehamishia lindi

Ova
 
Acheni dharau kwa Lindi.
MRADI WA LNG unaotarajia kuanza muda si mrefu ndio unakwenda kubadilisha kila kitu.
Rais kaamlisha Airport iboreshwe
Chuo cha masuala ya Gas kitajengwa
UDSM nao washachukua eneo na soon wanajenga
Chuo cha Masuala ya Mahakama
Open University
Eneo la viwanda Kutokana na MRADI wa LNG. N.k
Sasa wewe bweteka na kuidharau Lindi, wenzako wanakwenda Lindi kuchukua maeneo na kuwekeza
Baada ya Dar, soon Lindi ndio inakwenda kuwa na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi hapa Tanzania.
You know why? Huu MRADI wa LNG utajengwa km chache kutoka centre of the Town, hivyo mzunguko wa Pesa utaonekana Directly kwa wakazi wa hii Manispaa.
Nawasoma tu wadau humu wanalopoka tu lopoka tu

Wanaiponda lindi ....lindi kuna mradi mkubwa sahv wa uchimbaji wa magnesium na kuna mradi mkubwa mkubwa wa uchimbaji wa graphite

Na sahv lindi kuna mahali wanachimba watu dhahabu na purity yKe iko vzr kuliko hata ya kutoka kanda ziwa....

Fursa zipo San na sahv huko kuna mchanganyiko wa watu wanaenda

Wavaa tai,wakaa mjini hawawezi elewa

Ova



Kwa mtafutaji lindi fursa zipo
 
Nisiwacheke sana Lindi, maana mwenyewe kwetu hali ni hiyo hiyo japo kuna nafuu kidg. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tena bora lindi watajivunia Bahari na bandari,. Sisi Ruvuma ni vumbi tyuuh. Sisi ndo tulikosea nn Dunia, sio kwa mkoa wetu khaaah.
Ruvuma si bora niwe kwenye handaki tu 😂😂😂😆😆
 
Nawasoma tu wadau humu wanalopoka tu lopoka tu

Wanaiponda lindi ....lindi kuna mradi mkubwa sahv wa uchimbaji wa magnesium na kuna mradi mkubwa mkubwa wa uchimbaji wa graphite

Na sahv lindi kuna mahali wanachimba watu dhahabu na purity yKe iko vzr kuliko hata ya kutoka kanda ziwa....

Fursa zipo San na sahv huko kuna mchanganyiko wa watu wanaenda

Wavaa tai,wakaa mjini hawawezi elewa

Ova



Kwa mtafutaji lindi fursa zipo
Lindi ni chimbo lingine..soon wasukuma wataanza kuifukua ardhi ya lindi mpaka ishangae.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom