Mbona Mbowe amesahaulika mapema hivi?

Kila anayekwenda kumuuliza kwa siri kama ni gaidi majibu anayokutana nayo aikifika mtaani anajisemea"mchuma janga hula na wakwao"....anapiga kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kapate chanjo tafadhali.
 
Wale diplomat jana walikuwa ikulu au wapi?
 
Wafuasi milioni kumi na tano? Sijui umetumia kigezo gani kuja na hizo takwimu.
 
Kitendo cha kuandika mada kuhusu yeye ni dalili tosha kwamba hajasaulika! Umeacha kuandika kuhusu mama yako, ambaye ndo amesaulika unamwandika mwamba ambaye anatrend! Shame on you girl
 
Hapana Kila jambo hutokea kwasababu zake na kipindi chake
 
Unayohakika Dudumizi,ilikuwa ndio lengo kumbambikia ili asahaulike sio, ona hata mnaogopa kumtoa mwamba hadharani. 😆
Kama alibambikiwa au hakubambikiwa, mahakama ndo itaamua. RIP Chacha Wangwe na Ben SAA8.
 
Hahahaaa,muulize IGP kwanini aliitisha Press!Muulize huyo mama yenu kwanini alienda BBC kueleza aliyoeleza!
Kama si urais wa kuokota,Samia haingii kwa Mbowe hata theluthi moja!
Raisi alienda BBC au BBC ndo ilienda kwa raisi kule Ikulu?
 
Hakuna dili la ruzuku tena! Utampigania mtu ambaye hana pesa za kukulipa ktk mikutano na safari?
Nafikiri hii ndio sababu ya yeye kusahaulika kwa haraka sana. Waswahili wanasema "mkono mtupu haulambwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…