system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Yaani wanaotoa elimu zaidi jinsi ya kupata utajiri ni watu maskini hahahahaha.
Kwa nini watu matajiri wasitoe nyuzi za jinsi ya kupata utajiri na kuondokana na umaskini? Halafu nao maskini watoe experience yao kwenye umaskini?
Sasa, unamkuta maskini ana full info za utajiri na umaskini at the same time, lakini bado ni maskini wa kutupwa.
Maskini ni kama unga wa ngano ana matumizi mengi sana (ana info nyingi sana za utajiri kuliko hata za umaskini).
Hey! Maskini wapumzishe utajiri kidogo am sure they know nothing about it.....!
Yaani wachil na umaskini wao waache mbwembwe kama matajiri wanavyochil na utajiri wao bila kuwa na maneno mengi.
Utajiri is very very very complicated entirely to its core. Hakuna sayansi wala mahesabu kamili ya utajiri wa haki.
In short tuelewe tu kuwa utajiri ina ubaguzi mkubwa dunia haijawahi kushuhudia it doesn't depends on your fucking hard working, smartness, education level, risks, and other your stupid shits over there.....!
Lucky and other uncontrollable external forces decide kuhusu wewe kuwa tajiri. Endeleeni kupiga mwingi!
Utajiri is the very serious battle between God and Saturn. It is the 'battle ground' to win people between God and Saturn.
It is under very non explainable forces and lucky by anyone.
Nimemaliza.
Tuishi.
ROBERT HERIEL J'mosi hujatupa uzi wa week end!
Kwa nini watu matajiri wasitoe nyuzi za jinsi ya kupata utajiri na kuondokana na umaskini? Halafu nao maskini watoe experience yao kwenye umaskini?
Sasa, unamkuta maskini ana full info za utajiri na umaskini at the same time, lakini bado ni maskini wa kutupwa.
Maskini ni kama unga wa ngano ana matumizi mengi sana (ana info nyingi sana za utajiri kuliko hata za umaskini).
Hey! Maskini wapumzishe utajiri kidogo am sure they know nothing about it.....!
Yaani wachil na umaskini wao waache mbwembwe kama matajiri wanavyochil na utajiri wao bila kuwa na maneno mengi.
Utajiri is very very very complicated entirely to its core. Hakuna sayansi wala mahesabu kamili ya utajiri wa haki.
In short tuelewe tu kuwa utajiri ina ubaguzi mkubwa dunia haijawahi kushuhudia it doesn't depends on your fucking hard working, smartness, education level, risks, and other your stupid shits over there.....!
Lucky and other uncontrollable external forces decide kuhusu wewe kuwa tajiri. Endeleeni kupiga mwingi!
Utajiri is the very serious battle between God and Saturn. It is the 'battle ground' to win people between God and Saturn.
It is under very non explainable forces and lucky by anyone.
Nimemaliza.
Tuishi.
ROBERT HERIEL J'mosi hujatupa uzi wa week end!