Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wadau, vipi mbona Bi. Mkubwa hajajitokeza kupitia mtandao wa X kukipongeza chama chake na wana-CCM kwa ujumla baada ya kupata ushindi wa kishindo kwennye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27/11/2024?
Mpaka jana tarehe 29/11/2024, mtandaoni anasomeka, ila tunasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!Ajabu!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!
Ajiuzulu.
Mpaka jana tarehe 29/11/2024, mtandaoni anasomeka, ila tunasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!Ajabu!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!
Ajiuzulu.