Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Si wameshinda au mimi ndio sielewi!!!Anaona Aibu
Naona nyumbu umechangangikiwa, vp mbowe ameandika huko kuhusu kupoteza kwake au unamfuatilia zaidi SSH kuliko yeye?!!! Back tu yua kwesheni; Wana utaratibu wao na wakishamaliza watapongezana.......we hudhuria kwanza vikao vya mbowe na lissu labda watatangaza maandamano huko uandamaneπππWadau, vipi mbona Bi. Mkubwa hajajitokeza kupitia mtandao wa X kukipongeza chama chake na wana-CCM kwa ujumla baada ya kupata ushindi wa kishindo kwennye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27/11/2024?
Mtandaoni yumo, ila kwenye akaunti yake, tuasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!!
Hahaaaaaa!!!!!!!
Aiseeee!!!Naona nyumbu umechangangikiwa, vp mbowe ameandika huko kuhusu kupoteza kwake au unamfuatilia zaidi SSH kuliko yeye?!!! Back tu yua kwesheni; Wana utaratibu wao na wakishamaliza watapongezana.......we hudhuria kwanza vikao vya mbowe na lissu labda watatangaza maandamano huko uandamaneπππ
Ushindi wa zuga fala kwa jamu?Wadau, vipi mbona Bi. Mkubwa hajajitokeza kupitia mtandao wa X kukipongeza chama chake na wana-CCM kwa ujumla baada ya kupata ushindi wa kishindo kwennye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27/11/2024?
Mpaka jana tarehe 29/11/2024, mtandaoni anasomeka, ila tunasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!Ajabu!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!
Ajiuzulu.
Wako kwenye msiba/mazishi.CC ya Chadema vipiii? πππ₯
Yeye mwenyewe anajua kilichofanyikaWadau, vipi mbona Bi. Mkubwa hajajitokeza kupitia mtandao wa X kukipongeza chama chake na wana-CCM kwa ujumla baada ya kupata ushindi wa kishindo kwennye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27/11/2024?
Mpaka jana tarehe 29/11/2024, mtandaoni anasomeka, ila tunasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!Ajabu!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!
Ajiuzulu.
Kama ana Akili TIMAMU kweli hawezi kusifu upuuzi huu wa uchaguzi uliojaa mavi matupu.Wadau, vipi mbona Bi. Mkubwa hajajitokeza kupitia mtandao wa X kukipongeza chama chake na wana-CCM kwa ujumla baada ya kupata ushindi wa kishindo kwennye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27/11/2024?
Mpaka jana tarehe 29/11/2024, mtandaoni anasomeka, ila tunasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!Ajabu!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!
Ajiuzulu.
Hapo mantiki yake itakuwa ni ipi?Wadau, vipi mbona Bi. Mkubwa hajajitokeza kupitia mtandao wa X kukipongeza chama chake na wana-CCM kwa ujumla baada ya kupata ushindi wa kishindo kwennye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27/11/2024?
Mpaka jana tarehe 29/11/2024, mtandaoni anasomeka, ila tunasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!Ajabu!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!
Ajiuzulu.
Atasema tu. Ameanza kuwatanguliza hao viongozi wa dini ubwabwa, vyama vya upinzani walivyovinunua n.k halafu atakuja yeye kumaliziaWadau, vipi mbona Bi. Mkubwa hajajitokeza kupitia mtandao wa X kukipongeza chama chake na wana-CCM kwa ujumla baada ya kupata ushindi wa kishindo kwennye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27/11/2024?
Mpaka jana tarehe 29/11/2024, mtandaoni anasomeka, ila tunasoma habari zinazohusu mambo mengine lakini sio kukipongeza chama chake kwa ushindi wa kihistoria!!Ajabu!
Yaani alipongeza Taifa Stars kwa ushindi halafu chama chake kakipotezea!
Ajiuzulu.