Mbona Rais Samia kabadilika hivi!? Baadhi ya Mambo yaliyonichanganya sana kwenye hotuba yake leo!

Mbona Rais Samia kabadilika hivi!? Baadhi ya Mambo yaliyonichanganya sana kwenye hotuba yake leo!

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu maana na yeye ni mwanasiasa.

Kama ni hivyo basi katiba hii iliyopo haina sifa kabisa kutuongoza Kwa kuwa iliundwa na wanasiasa tena kakikundi kadogo tu ka wanasiasa.

Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa ni kwamba katiba ni utaratibu ambao sisi raia tutakubaliana utumike kituongoza.

Yaani jinsi gani tutaweka na kuondoa uongozi, jinsi gani uongozi utawajibika kwa raia, kwani, na namna maslahi ya Kila mtu yatalindwa ndani ya nchi yetu.
Sasa haya yanahitaji utuelimishe nini!?

Kwa hiyo ccm imeongoza watu wasio ijua katiba kwa zaidi ya miaka 60 baada ya kuwadai sana 2014 wakatuletea pendekezwa tena huyuhuyu rais akiwa makamu mwenyekiti, Kwa hiyo walitaka KULETA katiba kwa mambumbumbu.!?

Kwani hii iliyopo elimu yake ilitolewa wapi wakati inaandikwa.?
 
Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu maana na yeye ni mwanasiasa...
CCM hawana ubavuu, kuthubutu hata kusikia neno katiba mupyaaa, kwani hicho kitakuwa ndio kitanzi chawoo,cha kujitundikagaa,wawo wenyeeewe .
 
Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu maana na yeye ni mwanasiasa...
Nami naona kama kanichanganya zaidi. Kwani wanasiasa siyo wananchi au wao wanakaa nje ya Tanzania?

Mbona sheria zinatungwa na hakuna ulazima wa kuwapa wananchi elimu ya sheria inayotaka kutungwa kwanza?

Sasa kama sheria zinatungwa bila ya wanachi kupewa elimu kwanza, kwa nini kutunga au kuandika katiba mpya ndiyo elimu hiyo itolewe kwanza wakati katiba nayo ni sheria (sheria mama)?
 
Tulijua toka mwanzo CCM hawataki katiba mpya, hata hiyo tume ya iliyoundwa tulijua ilikuwa danganya toto. Sasa ukweli uko dhahiri kuhusu utapeli ule. Tunawapongeza CDM kwa kutoshiriki huo mkutano wa kisanii.
Sasa nini kifanyike tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya 2025?
 
Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu maana na yeye ni mwanasiasa...
Nimeshangaa sana maneno ya Mheshimiwa Rais kama mwanajf, inasikitisha.
 
Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu maana na yeye ni mwanasiasa...
Turudi kwenye maombi kwa ajili ya nchi yetu Mungu aliokoe Taifa, wabaya wote wakiwemo viongozi wanaotutawala kwa maslahi yao na watu wao awaangamize.
 
Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu maana na yeye ni mwanasiasa.

Kama ni hivyo basi katiba hii iliyopo haina sifa kabisa kutuongoza Kwa kuwa iliundwa na wanasiasa tena kakikundi kadogo tu ka wanasiasa.

Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa ni kwamba katiba ni utaratibu ambao sisi raia tutakubaliana utumike kituongoza.

Yaani jinsi gani tutaweka na kuondoa uongozi, jinsi gani uongozi utawajibika kwa raia, kwani, na namna maslahi ya Kila mtu yatalindwa ndani ya nchi yetu.
Sasa haya yanahitaji utuelimishe nini!?

Kwa hiyo ccm imeongoza watu wasio ijua katiba kwa zaidi ya miaka 60 baada ya kuwadai sana 2014 wakatuletea pendekezwa tena huyuhuyu rais akiwa makamu mwenyekiti, Kwa hiyo walitaka KULETA katiba kwa mambumbumbu.!?

Kwani hii iliyopo elimu yake ilitolewa wapi wakati inaandikwa.?
Mnadanganywa na hao wapiga domo wenu TL, Freeman, etc Kama mnataka katiba mpya tumieni njia ngumu lkn sio hiyo inayohubiriwa na wala raha. Hili nishawaambia.
 
Sasa nini kifanyike tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya 2025Wa

Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu maana na yeye ni mwanasiasa.

Kama ni hivyo basi katiba hii iliyopo haina sifa kabisa kutuongoza Kwa kuwa iliundwa na wanasiasa tena kakikundi kadogo tu ka wanasiasa.

Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa ni kwamba katiba ni utaratibu ambao sisi raia tutakubaliana utumike kituongoza.

Yaani jinsi gani tutaweka na kuondoa uongozi, jinsi gani uongozi utawajibika kwa raia, kwani, na namna maslahi ya Kila mtu yatalindwa ndani ya nchi yetu.
Sasa haya yanahitaji utuelimishe nini!?

Kwa hiyo ccm imeongoza watu wasio ijua katiba kwa zaidi ya miaka 60 baada ya kuwadai sana 2014 wakatuletea pendekezwa tena huyuhuyu rais akiwa makamu mwenyekiti, Kwa hiyo walitaka KULETA katiba kwa mambumbumbu.!?

Kwani hii iliyopo elimu yake ilitolewa wapi wakati inaandikwa.?
Nikisema tangu mwanzo kwamba yote hii ni kufubaza kelele kuhusu DPWorld. Lengo wananchi waingie kujadili na kulalamikia urefu wa elimu kuhusu katiba mpya na waachane na hao waarabu. Na nionavyo watu ni kama wameingizwa box tayari.
 
Nikisema tangu mwanzo kwamba yote hii ni kufubaza kelele kuhusu DPWorld. Lengo wananchi waingie kujadili na kulalamikia urefu wa elimu kuhusu katiba mpya na waachane na hao waarabu. Na nionavyo watu ni kama wameingizwa box tayari.
Usichanganye mambo. CCM inawatumia CHADEMA kama Energy Drink. Walio pale juu wanajua na wanakula raha. Chadema, ACT, CUF etc hawana lolote.
 
Ukiwa Nje au Mamlaka ya Chini
Utaona kama aliye Juu Hana Sifa ya Uongozi/ Hapendi Demokrasia
Na unaweza Saidia Wanao Mkosoa
Sasa Ukikaa ww hapo Ndio Utakuwa Bora ya mtangulizi
Mungu Fundi
 
Back
Top Bottom