Mbona Rais Samia kabadilika hivi!? Baadhi ya Mambo yaliyonichanganya sana kwenye hotuba yake leo!

Yaan,
Wanaibua mjadala mzito kama ni ivyo
Hata wapigakura wale fuata mkumbo walitamiwa wazuiwe kupiga kura mpaka pale ambapo wataelimika............
Maana KURA YA MTU MJINGA NA MWEREVU ZOTE ZINA UZITO SAWA KWENYE SECRET BALLOT 🗳️

Kwa Sasa yangu ni hayo tu..
 
Kweli! Kila kitu kisubiri elimu kwanza maana si wananchi hawajaelewa bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…