Mbona sasa hivi Mashabiki wa Simba SC 'tumedoda' sana hapa JamiiForums Kulikoni?

We ni nani?
Mimi ni GENTAYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mshindi wa Tuzo ya Hela na Zawadi ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums nzima kwa Msimu wa mwaka 2022 / 2023 na nina uhakika hata Shindano likiendelea leo kwa Utajiri mkubwa nilionao wa Habari za Michezo na Uchambuzi bado nitashinda tu tena.
 
Tunamtafakari Mzee Mo. akisema TULIZA ROHO!

 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.
 
Hellow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…