Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWIGULU LAMECK NCHEMBALeo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
Inatakiwa ifike Tsh 3,000 au zaidi huko, sisi tunaolipwa kwa dollar ya Marekani tunacheleweshwa sana kupata maendeleo yetuLeo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
Hapa nilipo rate ni 2600.06Leo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
Leo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
Leo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
SNGIDA ALL BLACK STAR BOSSLeo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
Rial 1 ya Oman=tsh 7100Leo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
TWO MONTHY NOWRial 1 ya Oman=tsh 7100
Ni hatari, hii shilingi yetu bwanaTWO MONTHY NOW
Umeandika kwa uchungu sanaKwanini isiporomoke!!?kama mtu anauza bandari Ili apate fedha za kampeni ya kugawa chupi Kwa kina mama Tanzania nzima unafikiri Nini kitafuata!!?
TUMENUNUA TEAM TATU SIGIDA KWA DOLA
Duh ngoja nimuulize lishangazi langu la kunitoa stress kama limepata mgao wa kyupi!Kwanini isiporomoke!!?kama mtu anauza bandari Ili apate fedha za kampeni ya kugawa chupi Kwa kina mama Tanzania nzima unafikiri Nini kitafuata!!?
Hivi ni kwanini zile solution ambazo ndizo zingeweza kutatua hizi shida mazima hua hazifanywi ina mana hazifanywi makusudi kama hili la dola ina mana kuna watu wana INTERESTS zao hapo si ndio..Duh! Ni aibu mno mkuu, yani team zinanunuliwa kwa dollar!
Waruhusu Uraia pacha waone shilingi itakavyopanda kwa kasi, wawekezaji watamiminika, watu watapata ajira, serikali itanufaika na makodi, wataexport bidhaa nje ya nchi n.k