Mbona shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi dhidi ya dollar ya Marekani?

Mbona shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi dhidi ya dollar ya Marekani?

Wakenya huwa wanajisikia sana kwa pesa yao kuwa na thamani kuliko ya kwetu.
 
Sasa kama kuna artificial scarcity ya dollar kwenye uchumi why isipande kiholela tu against required levels?

Kwanza umeandika bei ya dollar ni 2550 but mtaani huku watu wanaipata kwa shida sana na madalali wanaiuza hadi kwa 3500 huko kwa wenye shida ya haraka.
 
Hivi ni kwanini zile solution ambazo ndizo zingeweza kutatua hizi shida mazima hua hazifanywi ina mana hazifanywi makusudi kama hili la dola ina mana kuna watu wana INTERESTS zao hapo si ndio..

Sijajua shida iko wapi mkuu, yani kila kitu kinawezekana
 
Leo dollar moja ya Marekani ni T.shs. 2580 kulikoni?
Kwa nini isiporomoke wakati mama karuhusu walanguzi wa hela za kigeni kama bureau de change. Magufuli hakua mjinga kuweka bureau de chamge kwenye mabenki tu. Wahindi wakikusanya usd wanakimbiza zote canada kwa njia za panya. Utaratibu sio mrahisi kusimamia. Hata wanaofuatilia wanahongwa tu na wahindi hela za kigeni wanatoa nje. Uchumi unsingiza hels za kigeni ila zinaishia mikononi mwa watu wansozihamisha badala ya matumizi kwa faida ya nci.
 
Jana nimeuza USDT 1 kwa pesa ya madafu Tzs2809. Hii ni kwenye crypto platforms.

Hapo unapata picha wapi Tzs inaelekea. USDT ni stable coin maana yake thamani yake ni sawa na US dollar.

Ok, sababu ya pesa ya Tanzania kwenda chini ni nchi kuendelea kushindwa vibaya kwenye kuzalisha na kuuza bidhaa au huduma nje ya nchi na sisi kupata pesa za kigeni.

Kamwe usidanganywe na wanasiasa.

Siku zote tazama namba.

1. Mwaka 2022/2023 tuliuza nje si zaidi ya $8bn. Unafahamu kiasi gani tulitumia pesa yetu kununua bidhaa au huduma nje? $16bn.

2. Lakini pia ukiangalia vizuri unagundua vile uchumi wetu ulivyo mdogo na umesinyaa. Mdogo sana. Kwa mwaka pamoja na kelele zote kwenye mahindi yatuuzi zaidi hata zaidi ya $100m.

3. Kiufupi Tz inawanufaisha watu wachache sana


a)umepata bahati yakuzaliwa kwenye familia yenye msingi mkubwa wa kifedha.

b) umefanikiwa kwenye biashara kwa hustle zako za jasho na damu.

c) Umeajiriwa kwenye kitengo na kazi yako ni kuiba pesa za umma, rushwa na ulaghai.

4. Tofuati na hapo, utaishi maisha yako kwa kiasi kikubwa kwa tabu na ikitokea hujapata nafasi yakuona watu wengine wanavyoishi vizuri, utaendelea kupigwa fix na wachache wanaonufaika kwa kukukandamiza na kukuipia kwa ujinga wako.
 
Nilisikia tumejiunga na BRICS? Dollar ya nini kwetu sasa, ikiwa kampeni ya BRICS ni KATAA DOLLAR?

Ingawa bado tunatumia SWIFT kulipa madeni na kupokea Dollar.

Lengo la BRJCS na wanachama wao ni kukuza local currency na kuondoa dollar kama business currency of exchange, ngoja tuone watafika wapi.

Achaneni na dollar mwishowe mtaambiwa nanyi ni wale wanachama wa upinde wa mvua. Komaeni na shilingi tu.
 
Mheshimiwa Mwigulu Nchemba(WU) salaam! Mheshimiwa nnaomba fanya namna pesa yetu iimarika against dollar walau kidogo tuu.Mambo hayaendi huku dola ipo juu sana.

Wew kama mchumi naamini unajua na unaweza, play it MHESHIMIWA.Yes its tough lakini fanyafanya mwanakwetu. Sasa hivi hatuwezi kuagiza nje vitu dollar haishikiki.
 
Back
Top Bottom