Unataka tuchangie nini sasa? Damu, fedha, au!! Na hilo bandiko lenyewe liko wapi ili tukuchangie?nijibuni basi?
Bandiko lako litatoboa kweliNimeandika bandiko tokea asubuhi hadi sasa silioni likichangiwa na wadau.
Kupandisha bandiko lionekane kwa watu bei gani kwani?
Utatoboa tu usijalinijibuni basi?
Wote tu vichaa tunatofautiana viwango tuu [emoji3]kumbe mwenye akili upo boss?wenzako vichaa hawa
ππππππNimeandika bandiko tokea asubuhi hadi sasa silioni likichangiwa na wadau.
Kupandisha bandiko lionekane kwa watu bei gani kwani?
Yaani umejiunga tu jana na unatusi wakubwa wakonilichogundua kwaharaka haraka humu akili wengi hamna
hunaakili timamu weweYaani umejiunga tu jana na unatusi wakubwa wako
Kwa style hiyo hautatoboa kwel nakwambia
Daaaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nijibuni basi?
Kwa haraka haraka jf haiko hivyonilichogundua kwaharaka haraka humu akili wengi hamna