Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ni mjinga kinoma nomaWameamua kufanya FRANCHISING ,go back to school dude
Endeleeni kuotaGeza Ulole mpenzi wako Total anakuwacha!
Naona unamtetea Bwana yako?Endeleeni kuota
Namteteaje na ww mbwiga, total mwenyewe kasema Hamwachi bwana wake, wewe una sema namtetea, mnachanganyikiwa.Naona unamtetea Bwana yako?
Namaanisha bwana yako Geza UloleNamteteaje na ww mbwiga, total mwenyewe kasema Hamwachi bwana wake, wewe una sema namtetea, mnachanganyikiwa.
Wooi, didn't even see u tagged geza, was just replying u.Namaanisha bwana yako Geza Ulole
AmekupA mahaba asubuhi 😁😁Wooi, didn't even see u tagged geza, was just replying u.
Fara tu wwAmekupA mahaba asubuhi [emoji16][emoji16]
Fanya kazi za nyumba, OSHA mwili bwana atakuja lunchtime akupe kengine kamoja kabla arejee kazini.Fara tu ww
Mna siku 30 zingine za kua kama wanawali wanao subiri kuolewaKQ kuja huko sio kitu cha kushangiliwa huku, waulize Wakenya wengi kitaani hata hawana habari na zuio lenu huko, nyie ndio mumeifanya ionekane kama issue kubwa sana maana siku zote mtu anayeendeshwa na chuki ndiye huumia na kuteseka zaidi ya mhanga wa chuki zake.
Japo kama kuna kitu kimenifurahisha kwenye hii serikali ya Kenya ni namna walivyokomaa kwenye hili, kwamba kila Mtanzania anayekuja huku lazima apimwe, hamna nini wala nini, hata mzuie ndege na malori yote milele, lazima mpimwe.
Uzalendo wangu kwa hii serikali ulikua umeanza kushuka, nilikua nimeanza kuchukia namna rais wetu anavyoendesha baadhi ya mambo, ila kwa jinsi ametulinda kutokana na nyie watu, amenikosha kiaina na nimeipenda sana, kwanza ndege zetu za KQ zikiruhusiwa kuja huko, siku zikigeuza ziwe zinapulizwa dawa kote, na kama vipi marubani wasiwe wanashuka Tanzania, wawe wanageuza moja kwa moja.
Wahudumu wetu walindwe kama hawa hapa, tutapona na kukwepa hii hatari.
![]()
Wewe read the advert on the newspapers utaelewa.........Tatizo kila mmoja wenu ana maelezo yake, kunao mnasema hiyo ilikua mojawapo wa vigezo kwamba kama watajenga bomba lazima wafunge biashara zote zingine, yaani mbona msitulie mpate spin moja ya kutumia.
Wewe read the advert on the newspapers utaelewa.........
Opera News TanzaniaKampuni ya mafuta ya Total, ambao ndio walikua tegemeo kwa ujenzi wa bomba la mafuta Tanzania, naona wametangaza zabuni ya kuuza kila kinachowahusu Tanzania, kawaida humu huwa tunaona Watanzania wakichekelea kila panapotokea taarifa za kampuni ya Kenya kwao huko inapofungasha, sasa kwa hawa mabeberu inakuakuaje.
Invitation for Tender Total Tanzania Limited
TOTAL TANZANIA LIMITED PROPERTIES FOR SALE Total Tanzania Limited invites candidates to expression interested and submits competitive bids for purchase of plot, depots and services stations enlisted for disposing located in various Region in Tanzania […]
TOTAL Archives - Tender Portal