Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Asante mkuu,lazima utakuwa smart na mwenye busara kuliona hilo.
Tuna mambo mengi,huo muda wa kubebishana huku JF hatuna tena,ni kazi tu.
Hata ukiangalia mahudhurio yangu JF sio kama zamani...

Inaonekana Picha Natoa Hotuba ' anaikeshea ' sana mpaka muda wote unakuwa hoi bin taaban hadi unapotea humu. Hapo bado hajakuoa je akikuoa si ndiyo utakuwa unashindwa hata kwenda kumpelekea maji ya Kuogo kwa aina ya ' Mshindilio ' wa ' Kutukuka ' atakaokuwa anakupa?
 
Hahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
e7fb62d51c32ace3c88f3e49a25b1cc7.jpg

*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]

Shemeji nifah hii picha ingekua nzuri zaidi kama ingekua imeishia juu kidogo ya mgongo. Ingawa ata sijui kwa nini nimewaza hivyo
 
Ila Shem The bold Kuna kitu kimoja Mimi shemeji yako kinaniuma Sana, ngoja Tu Leo nikisema, miaka miwili mitatu iliyopita dada yangu alikua mtu Wa kule siasani Sana, and for sure alikua anamchango mkubwa Sana, ila toka umchukue mambo yamekua tofauti Sana.

Nilijiuliza Sana imekuaje ila Kuna siku nilipata jibu, I think ilikua Ni siku ya birthday ya sister, Kuna Uzi ulianzisha katoka ule Uzi niligundua wewe hupendi kujihusisha na mambo ya siasa, hukuweka sababu ila as GT niling'amua why hupendi kujitanabaisha msimamo Wako, sasa hii ikanifanya Ni'conclude the reason behind kwa nini Nifah haji Sana Siasani.

Ombi langu Ni; muache Tu ajemwayemwaye kule, sisi bado tunamuhitaji Sana huyu mwenzetu, hata kama wewe sio wa chama chetu ila muache Tu plz...
Nakuelewa sana mkuu Mgibeon,


Kuna mambo mengine ni vigumu kuyafafanua lakini yanapaswa kuwa hivyo..

Ni kweli Cheupe anapenda Siasa na anaijua vyema sana lakini kwa maslahi mapana zaidi inabidi ile spidi yake ya zamani ipungue!!
Haikuwa kazi nyepesi kumuondoa siasani lakini uzuri ni mwanamke smart na mtiifu... Akaelewa na hatimaye amejiweka kando na mijadala ya kisiasa...

Natamani aendelee na harakati siasani lakini sijui nisemeje... Ndio hivyo mkuu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe miss chagga wewe?
Ni kweli,siku hizi nina mambo mengi mnoooo,very busy ndio maana inaweza pita wiki na zaidi sijaingia JF.

Na nitakuwa ' nawachokoza ' kila uchao hadi muache ' kupotea ' humu Jamvini. au hamjui kuwa bila Picha Kitambaa na Picha Natoa Hotuba JF bado haijanoga? Na leo kweli ' nimewaweza ' hadi ' mmefufuka ' huko Kitandani mlipokuwa mkipena ' ushirikiano wa Kibaiolojia '.
 
Nakuelewa sana mkuu Mgibeon,


Kuna mambo mengine ni vigumu kuyafafanua lakini yanapaswa kuwa hivyo..

Ni kweli Cheupe anapenda Siasa na anaijua vyema sana lakini kwa maslahi mapana zaidi inabidi ile spidi yake ya zamani ipungue!!
Haikuwa kazi nyepesi kumuondoa siasani lakini uzuri ni mwanamke smart na mtiifu... Akaelewa na hatimaye amejiweka kando na mijadala ya kisiasa...

Natamani aendelee na harakati siasani lakini sijui nisemeje... Ndio hivyo mkuu!
usikubali shemeji kule watamuharibu na kumkomaza usikubali
 
Hahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
e7fb62d51c32ace3c88f3e49a25b1cc7.jpg

*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]
Hahahaah kumbe mnaoongelewa ni ninyi.!
 
Shemeji nifah hii picha ingekua nzuri zaidi kama ingekua imeishia juu kidogo ya mgongo. Ingawa ata sijui kwa nini nimewaza hivyo
Ulitaka uone nini mkuu? Hahaha
 
We jamaa mchokozi sana.umefukunyua mpaka umepata ulichokipata..by the way yule demu aliyekua akikuhudumia pale Salmacone vipi ulimuacha?

Nilimwomba ' Uvungu / Tigo ' akakataa ndiyo ikawa ' nukta ' yetu. Halafu sitaki ' umbea ' wako Mkuu sawa? Hapa tunawaongelea akina Picha Kitambaa na Picha Natoa Hotuba. Nitakuchenjia sasa hivi sawa?
 
Na nitakuwa ' nawachokoza ' kila uchao hadi muache ' kupotea ' humu Jamvini. au hamjui kuwa bila Picha Kitambaa na Picha Natoa Hotuba JF bado haijanoga? Na leo kweli ' nimewaweza ' hadi ' mmefufuka ' huko Kitandani mlipokuwa mkipena ' ushirikiano wa Kibaiolojia '.
Hahahaaaaaa Wallah umetuweza leo [emoji119]
 
Ila Shem The bold Kuna kitu kimoja Mimi shemeji yako kinaniuma Sana, ngoja Tu Leo nikisema, miaka miwili mitatu iliyopita dada yangu alikua mtu Wa kule siasani Sana, and for sure alikua anamchango mkubwa Sana, ila toka umchukue mambo yamekua tofauti Sana.

Nilijiuliza Sana imekuaje ila Kuna siku nilipata jibu, I think ilikua Ni siku ya birthday ya sister, Kuna Uzi ulianzisha katoka ule Uzi niligundua wewe hupendi kujihusisha na mambo ya siasa, hukuweka sababu ila as GT niling'amua why hupendi kujitanabaisha msimamo Wako, sasa hii ikanifanya Ni'conclude the reason behind kwa nini Nifah haji Sana Siasani.

Ombi langu Ni; muache Tu ajemwayemwaye kule, sisi bado tunamuhitaji Sana huyu mwenzetu, hata kama wewe sio wa chama chetu ila muache Tu plz...

Mkuyenge umembadilisha Mtu ' totally '.
 
Back
Top Bottom