Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Mkuyenge umembadilisha Mtu ' totally '.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe sio mzima.
Siasa naendelea ila nafanya siasa ya kiustaarab zaidi.
Nilishapewa onyo kali na 'wakubwa'![emoji17]
 
Nakuelewa sana mkuu Mgibeon,


Kuna mambo mengine ni vigumu kuyafafanua lakini yanapaswa kuwa hivyo..

Ni kweli Cheupe anapenda Siasa na anaijua vyema sana lakini kwa maslahi mapana zaidi inabidi ile spidi yake ya zamani ipungue!!
Haikuwa kazi nyepesi kumuondoa siasani lakini uzuri ni mwanamke smart na mtiifu... Akaelewa na hatimaye amejiweka kando na mijadala ya kisiasa...

Natamani aendelee na harakati siasani lakini sijui nisemeje... Ndio hivyo mkuu!
Dah, mkuu cheupe hana mdogo ake kweli jaman, na mie nipatiemo.
May be mdogo ake atakua na character kama za dada mtu au kamzidi kidogo eeh
 
Dah, mkuu cheupe hana mdogo ake kweli jaman, na mie nipatiemo.
May be mdogo ake atakua na character kama za dada mtu au kamzidi kidogo eeh

Ukimtaka mdogo wake nenda kwanza katika akaunti zako kisha toa Pesa zote na uzipange barabarani na ukiona ukizipanga zote zinaanzia Ubungo mataa hadi Kimara mwisho tu zikusanye kamzawadie tu Bibi yako huko Kijijini Kwenu ' Mbwinde ' ila kama ukiona kila ukizipanga zinatoka Ubungo mataa hadi Usangi nakushauri wahi mapema ' ukatupie ' kwa huyo mdogo wake.
 
Back
Top Bottom