Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Hahaaaaa hivi wale jamaa kuna mtu anawakubali humu ndani?? Naona kila sehemu huwa wanapewa za uso tu na ma cc yao......

Mapenzi ya form two...
Hahahhahahahaa eti na ma cc yao, ndio wankua kua
 
Sasa kama wameshafika bei kwa vitisho vya baria uchwara za polisi, mwendo ikawa ni kumerge thread, pia wakajivumbulia kateknolojia ka kufilter thread isiweonekane na wengi hasa kama inakosoa serikali (yaan hawafuti kithread chako, ila hupewi shavu, yaani ni Clouds & Bashite Style)...ww unategemea nitachangamka?? labda waanze program ya kutugawia juice ili tuchangie kwa wingi.
Duuuuuh mkuu hii post ni ya hapa kweli?
 
akina Picha Kitambaa na Picha Natoa Hotuba? Heko zako!
???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? error%$@0@^%!/
 
Sasa kama wameshafika bei kwa vitisho vya baria uchwara za polisi, mwendo ikawa ni kumerge thread, pia wakajivumbulia kateknolojia ka kufilter thread isiweonekane na wengi hasa kama inakosoa serikali (yaan hawafuti kithread chako, ila hupewi shavu, yaani ni Clouds & Bashite Style)...ww unategemea nitachangamka?? labda waanze program ya kutugawia juice ili tuchangie kwa wingi.

Hii post ipo mahala pake au ' Gongo ' na ' Bange ' zimeanza ' kuwadhuru ' Watu hadi sasa wanaanza ' kuwehuka ' hivi?
 
Wewe 'mlinzi' hujarudi tu kutoka huko lindoni? Au umeenda kuroga kesho mfanye wonders vs Majimaji? [emoji12] [emoji126] [emoji126] [emoji126]

Mbona nime log in humu Saa 5 kamili kama nilivyosema pale mchana? Naona sasa ' umeshapotea ' humu na bila shaka Picha Natoa Hotuba sasa ' anaitandika ' Mbunye yake kama hana akili nzuri vile! Haya bhana nawatakieni ' ushirikiano wenu mwema wa Kibaiolojia ' usiku huu.

Kesho Simba SC haichezi na Majimaji bali inacheza na Mwadui FC. Naona ' Mkuyenge ' siku hizi unakufanya hadi upoteze kabisa ' memory '.
 
Hii post ipo mahala pake au ' Gongo ' na ' Bange ' zimeanza ' kuwadhuru ' Watu hadi sasa wanaanza ' kuwehuka ' hivi?

Ipo mahala pake kabisa. Kama hujaelewa pengine ww ndio mtumiaji wa gongo na bange unless umezijuaje? au utakuwa unajua tu kusoma ba kuandika...sasa miandiko ya wasomi km sisi kwako ni giza
 
Ipo mahala pake kabisa. Kama hujaelewa pengine ww ndio mtumiaji wa gongo na bange unless umezijuaje? au utakuwa unajua tu kusoma ba kuandika...sasa miandiko ya wasomi km sisi kwako ni giza

Ukikosea au Ukikengeuka kubali ' kurekebishwa ' Pimbi Maji Wewe.
 
Hahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
e7fb62d51c32ace3c88f3e49a25b1cc7.jpg

*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]
mbn mumesimam mbali mbali vp mnaogop kuzaa
 
Hahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
e7fb62d51c32ace3c88f3e49a25b1cc7.jpg

*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]
Dam55 atapata kaupenyo kweli hapa
watu wapo deep na mapenzi yao
 
Back
Top Bottom